Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

M Mnakremu nyiny wapuuzi kabisa kuna wanawake aina sita
1.very thin
2.thin
3.normal
4.busty
5.fat
6.very fat

RESULTS
1 and 6 = very UGLY
2 and 5 =NORMAL
3 = BEAUTIFUL
4 = Very BEAUTIFUL

BUSTY ndio mwanamke mwenye hisia zaid kimapenzi hakuna mwanaume hapendi kuwa naye na wanawake wanalijua hilo ndio weng wanajisumbua kula mayai cjui soseji yote tu wawe BUSTY
 
Tupichamo mkuu, hata tuwaone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Psychologically mwanzo kbs nilikuwa napenda Wanawake wenye MAKALIO makubwa..

Till nilivyokuja kugundua MAKALIO ni mapambo tu.. na ni USELESS ktk 6x6

Makalio hayana Faida yoyote.. na kibaya zaidi Yana LIMIT styles mbali mbali..

Mwanamke awe Moderate tu ROUND ASS ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu mmoja kasema mie niwe mwembamba na mke wangu mwembamba sitaki tukiwa tumelala tunakuwa kama wamelaza mikeka tu hajulikani mwanaume nani wala mwanamke ni yupi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…