Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.

Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.

Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Una kitambi au hauna?.
 
Kiriba tumbo hakipendezi kwa wote me &ke
[emoji116][emoji116]
IMG_20200406_175035.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Njoo kwangu ninyi nyoote msimbuliwao na kuonwa ni mizigo , nami nitawapumzisha. Kwa maana mizigo yenu kwangu ni myepesi na viuno vyenu kwangu ni laini nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

NB.
Nani alisema vibonge hawapigi miunoo????
 
Njoo kwangu ninyi nyoote msimbuliwao na kuonwa ni mizigo , nami nitawapumzisha. Kwa maana mizigo yenu kwangu ni myepesi na viuno vyenu kwangu ni laini nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

NB.
Nani alisema vibonge hawapigi miunoo????
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119] chi chi
 
Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.

Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.

Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Vipi kuhusu magumegume mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.

Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.

Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Unakulaje mifupa wakati minofu ipo.Hiyo sera unaitoa wapi.Mwanamke mnene ndiyo kila kitu unadate na kimtu chembamba tena kifupi hadi kinapotea kwenye mablanketi unaanza kukutafuta au unakikalia kitandani unadhani ni blanketi kumbe mtu kalala.
Wanene woyeeeeee nyie ndo kila kitu pambo la Mungu duniani. Si kwamba wembamba hamfai hapana nanyi mna kazi yenu maalumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom