Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Beautiful depends on eyes of the beholder usikalili vitu kwan mzungu ndo nani hasa mm napenda sana wanawake vibonge yani nikawaona tu mkuyenge unakaa mguu sawa
Sema beauty not beautiful kwa jinsi hilo neno lilivyotumika kwenye sentensi hii. Halafu usikalili= usikariri
 
Ziwa furushi....zaidi ya pale hapana kwa kweli [emoji3][emoji3]
Au kama alivyo Wema sahivi.. Aah vimiguu kama miwa.
Unene siupendi hata robo...bora mwili wa wastani.
Ila unene wa shapeless, tumbo tumbo, kono kono, kiuno hakijulikani kimeanzia wapi, tako lipo lipo tu, ziwa limedondoka mpaka bra inagoma kukusupport me hapana bora niwe kama Mange tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yes exactly ndicho ninachoongelea, kuliko kuwa mnene bora niwe kama Mange. Mie natamani hata ningekuwa flat kila kitu yaani, sie wengine hatuishi kwa ajili ya kuwavutia watu.
 
😀 😀 😀 😀 😀
Rushwa + Bia
Ila kitambi kwa mwanaume sio ishu sana japo mimi binafsi sikipendi.
Kitambi sumu sana kwa mwanaume na ni uzembe mkubwa sana. Ila kwa kina mama kuna mambo mengine nje ya uzembe, mfano dawa za family planning, na hata hormones za uzazi zinawabadilisha sana bila kupenda. Kwa hiyo mtoa mada labda azungumzie wasichana, siyo wanawake!!!
 
Hivi tukibet hapa kati ya mwanamke mnene na vimbaumbau nani watashinda kwa kupendwa? Mwanamke mnene anapendwa na wanavutia labda hukutane na yaliyo na ulemavu wa unene! Tunapoongelea mwanamke mnene tunaongelea Chura, huno, paja, guu ndo chakula ya muzee! Vimbaumbau utakula wapi sasa??
Yaani wewe mtu wewe!! Eti labda ''hukutane'' au eti ''huno''!!! Hivi watu wa namna hii huwa kuna connection kati ya brain, mdomo, macho na vidole wakati anaandika au wakati anaongea?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yes exactly ndicho ninachoongelea, kuliko kuwa mnene bora niwe kama Mange. Mie natamani hata ningekuwa flat kila kitu yaani, sie wengine hatuishi kwa ajili ya kuwavutia watu.
Haha eti flat Kila kitu
 
Mfumo wa maisha na ulaji mbovu ndio unapelekea watu kunenepa kupita kiasi.

Kwangu mwanamke awe mnene au mwembamba lazima mwisho wa siku atabaki mwembamba huo muda wa kunenepa hatapata wapi? Vyakula ni kutoka baharini na shamba,kazi za mikono na libeneke kila siku.
Ahahaha, wewe kweli ni baharia wa nchi kavu. Utaua njaa watoto wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri tu kwa dada zangu, sasa ndo nimeelewa kwanini wazungu wana criteria za mwanamke mzuri aweje.

Mwanamke mwembamba kama mamiss wale akiongezeka kdogo si mbaya ila asiwe mnene kabisa.

Mwanamke ukiwa mnene unakata stimu, ushauri huu uzingatiwe na dada zetu. Yaani stimu znakwisha kabisa hata ujirembe vipi, hata ujisexishe vipi, mwanamke mnene ukishalala nae ukakaa nae wiki tuu ushamchoka sasa sjui waliooa na wanawake wao sasa ni vibonge wanaishije, mimi sidechick tu ananipa kero.
Huu ni mtazamo wako mkuu usi apply kwa wanaume wote. Mbona wapo wanaowapenda wanene?

Kila mmoja ana chaguo lake acha tunenepe usipotupenda wewe atatupenda mwingine
 
Ahahaha, wewe kweli ni baharia wa nchi kavu. Utaua njaa watoto wa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nitake radhi mimi ni baharia wa baharini. Mtu hatonyimwa chakula ila anachokula lazima kiyeyushwe chote.

Uwezi kunywa chai,chakula cha mchana na jioni kisha uishie kuchat Instagram,kucheki Series na kupiga story za wasanii hayo ni masikhara.

Inabidi uishi maisha yenye mfumo wa kukimbiza digestion, mwisho wa siku mnakuwa na miili sare Kama wasomali.
 
Yaani wewe mtu wewe!! Eti labda ''hukutane'' au eti ''huno''!!! Hivi watu wa namna hii huwa kuna connection kati ya brain, mdomo, macho na vidole wakati anaandika au wakati anaongea?
Ticha unaniziba sioni mbele sogea kwa nyuma kidogo

Unaonaje ukifungua tuisheni msimu huu wa corona ukakamatia fursa
 
Back
Top Bottom