Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Kila mtu ana umbo linalomdatisha na anakuwa na sababu zake. Kwani wewe unapenda yupi kati ya hao?
 
hahaha,mwenzenu anaulizia habari ya kuwa na hasira w unaongelea kudata! mnawaza mrengo wa kushoto tu,kha!
tabutupu,una mzani uniazime nijihukumu mwenewe?
Kila mtu ana umbo linalomdatisha na anakuwa na sababu zake. Kwani wewe unapenda yupi kati ya hao?
 
Sijui kwa nini nyie guys hutuponda sie mabonge?? Sad.. Mnakosa busara... Na kuna unene na kunenepeana... Picha ulochagua hujatenda haki..
 
sijui kwa nini nyie guys hutuponda sie mabonge?? Sad.. Mnakosa busara... Na kuna unene na kunenepeana... Picha ulochagua hujatenda haki..

du hapana nimesha haribu, sikujua mkwe upo??
 

Wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...
 
Wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...



Lmao.......... Dah! Nimeipenda hii...
 
wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...

hahahaha, we kweli vituko
 
Ninachojua mimi ni kuwa the beauty is in the eyes of the beholder
 
hahahahaaa, utamu? utamu upi unaongelea chief, watu tuanze kujimwaya mwaya?
 
Wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...


Lol.....hivi hata nyie wa humu jf bado mnapiga wake zenu??
 
Nimeangalia picha uliyoweka nimegundua ni same person; either amenenepa au ameamua ku slim.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…