Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Inasemekana wanawake wengi wanene wengi mambo yao ni dawasco, so ni kero kunako majambozi.
Dawasco ndio kitu gani mkuu?Tuelimishe zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana wanawake wengi wanene wengi mambo yao ni dawasco, so ni kero kunako majambozi.
Umeona heeeeeeee, nadhani bado anawaza juu ya kumuoa huyo changu doa wakeLeo naona una topic za kumwaga.... ziko ngapi vile?? lol
Lol...Wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...
Huwa napenda sana wanawake wanene, kwa kweli wananidatisha sana na maumbile yaoSijui kwa nini nyie guys hutuponda sie mabonge?? Sad.. Mnakosa busara... Na kuna unene na kunenepeana... Picha ulochagua hujatenda haki..
ahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we mkaliiiiiiiiiiiiiKila mtu ana umbo linalomdatisha na anakuwa na sababu zake. Kwani wewe unapenda yupi kati ya hao?
![]()
HUU UNENENE AU WEMBAMBA? This is wus up!
Zaidiahapo, fikasalama!nhiyo ngoma wastan cyo nene cyo chembamba,anafaa sana ila mashine ss.mi nawafagilia mabonge.
Wembamba wana faida maana mara nyingi hawali sana, pia ukinunua kitambaa cha kumshonea nguo inakuwa very economic, pia huhitaji kuweka kitanda chako chaga za 2x4, za 1x4 zinatosha, pia mkipigana ni rahisi kumdunda, ...
Rahisi kumdunda??? Labda huyo hajui kucheza faulo!! Subiri nipate chance jeshini uone ka kuna mtu atanirushia hata nusu ngumi!
hahaaa kipipi acha vituko