Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Kitu tight ndo utamu wenyewe mambo mengine reception tu.
 
1: Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao

2.wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjika, na hawajui kubembeleza hata kidogo, yaani bado mbulula

3.wasichana wenye dimpoz,mwaya,matege ,mbinuko,mahips na kithembe hawa wanaongoza kwa kutokua waaminifu katk mapenzi na simu zao mara nyingi wanaziweka pasword huwezi soma msg zao.

4. Wasichana WANENE wanaongoza kwa mapenzi ya kweli yaani akipenda amependa kweli

5.Wasichana WEMBAMBA hao huwa ni wabishi sana na huwa wanaongoza kwa kutendwa

6.Wasichana WEUSI kwa kutoa mimba na kupenda wanaume warefu weupe

8.Wasichana weupe wanaongoza kwa kuzalia nyumbani kwao na hawa weupe sana uolewa wakiwa na watoto tayari .

8. Wasichana wenye VIDOTI usoni a.k.a KIDOTI hawa wanaongoza kwa umachepele yaani hata wakiolewa hawakawii kuachika tena mapenz yao huwa na mashaka siku zote ,ila wana maneno balaa

9. Wasichana wenye VIGIMBI, hawa wanaongoza kwa kua na michepuko mingi kwani kutembea ndio jadi yao,ila ni wabaihili balaa

10: Wasichana wenye MACHO MAKUBWA hawa ni maharage ya mbeya yaani wao kabla hujasema tu keshakubali.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kweli nimeamini wanawake Mungu aliwapenda sana. Bila wao sijui wanaume wangekuwa wanajadili nini? Topic nyinggi ni za wanawake tu tena kunako 6x6!! Wanaume nawaaambia utamu wa pipi ni mate yako!!! Huwezi linganisha utamu ninaoupata mimi nna utakaoupata wewe ht km tutakula pppi ile ile. Utamu uko akilini mwako
 
Mwisho wa rel

Ungeonekana wa maana kama ungejiuliza kuhusu katiba navkujiandikisha pia kuhusu kura ya maoni na UCHAGUZI mkuu kuliko us...ng.. kama huu囧
hahahahahahah we mkuu kila mtu ana interest zake mwingine ana waza siasa wengine migegedo wote tuwe na mawazo yanaayofanana sasa si ingekuwa shiiida
 
Last edited by a moderator:
Bora kwa lipi? Nadhani hizo ni fikra zako. Je ushajaribu mnene?

Sijajaribu wala sitaki.......kuhemea kiaina flexibility tabu na wengi wanene ni vitambi na inakuwa mission imposible. I am sorry but if i put my ass off to be fit i expect my lover to be almost the same nothing less.
 
Kwa walio oa na wasio oa naomba leo iweni wawazi, japo mtatoboa siri za wenzi wenu mnao wapenda, najua watatuwia radhi kwani nahitaji kujua. Kuna tofauti ati kati ya hawa wawili, wengine eti sijui wembammba wanahasira kuliko wanene, no proof.

Kuna mengi ambayo yanasemwa mitaani, lakini najua wewe msomaji unajua .


Naomba mseme ukweli kuna raha gani kati ya hawa wawili kwenye ndoa??

Tafadhali naomba nidhamu ama sivyo nitachagua kiranja.

View attachment 39236View attachment 39239

Aiseeeee,...
 
Wanene wenye maumbo ya kinyakyusa ndio poa!
 
mnene,asiwe na shepu..,bonge bonge flani zembe zembe hivi amaizing
sipendi wembamba
 
Jamanii mi mwanamke mwembamba a.k.a modo awe na kijishepu kwangu ndo first choice,
 
Back
Top Bottom