Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwnz Kabsa Ninang'oa Kila roho Ya Zinaa Kwny Mada Hii Kwa Damu Ya Yesu Kristo.
Si Mwembamba Wala Mnene Anaevutia Ktk Mapenzi, Bali Ni Upendo Wa Dhati Alionao Mume Kwa Mkewe,au Mke Kwa Mumewe. Na Pia Namna Ratiba Zenu Mnavyopanga Za Kukutana.
mhhh!!! kumbe umeelewa.Changia kwa jinsi ulivyoelewa.Mbona humu wote watu wazima kisha asilimia kubwa shule ipo. Wewe kwani una maoni gani?Heading inauliza mvuto. Nafungua thread nakuta unazungumzia yupi mtamu.
Ushanichanganya tayari
Kwnz Kabsa Ninang'oa Kila roho Ya Zinaa Kwny Mada Hii Kwa Damu Ya Yesu Kristo.
Si Mwembamba Wala Mnene Anaevutia Ktk Mapenzi, Bali Ni Upendo Wa Dhati Alionao Mume Kwa Mkewe,au Mke Kwa Mumewe. Na Pia Namna Ratiba Zenu Mnavyopanga Za Kukutana.
Hahahaaaa!!!.. umeua ndugu.Wale wasiojali usafi hasa kipindi kama hiki cha jua kali.Funguka wanene wachaf bnaaa
Modo mwenye mgongo ndo mpango mzma
Mwanaume akiwa na dusherere la kutosha awe mwanamke mwembamba au mnene haijalishi tatizo akiwa na kibamia ndio hayo yanaanza kumbe yeye ndio tatizo anakuwa haji amini anaogopa mwanamke mnene kitu kitachomoka
duhhh!!Unapenda kubwa eeh?
Potable huyo,rahisi kugeuzika,kukunjika na kubebeka.Staili zote anafiti.Ila wanene mguu kuuinua tu shidah sometime unajishauri kutokana na uzito wake.Sikupanga kuwa na mpenzi toka mikoa ya kanda ya kati, ila nilikutana na mtoto mmoja mwembamba na ana kamgongo fulani hivi, kaniganda na nimemganda inshort tumependana sana. Kwake siyumbi sinesi, mwembamba ni zaidi bhana.