Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Swali lako halina jibu...kila mmoja mtamu inategemea. Kwani mwanaume kibonge na mwembamba yupi mtamu?
 
Kwnz Kabsa Ninang'oa Kila roho Ya Zinaa Kwny Mada Hii Kwa Damu Ya Yesu Kristo.

Si Mwembamba Wala Mnene Anaevutia Ktk Mapenzi, Bali Ni Upendo Wa Dhati Alionao Mume Kwa Mkewe,au Mke Kwa Mumewe. Na Pia Namna Ratiba Zenu Mnavyopanga Za Kukutana.

Wewe lazima utakua mzee si bure!!
 
mnene mda mwngne huwa ana mvuto kwny macho ,ila mwembamba ni mtamu xana maana ni mnato yeye.
 
Heading inauliza mvuto. Nafungua thread nakuta unazungumzia yupi mtamu.

Ushanichanganya tayari
 
Heading inauliza mvuto. Nafungua thread nakuta unazungumzia yupi mtamu.

Ushanichanganya tayari
mhhh!!! kumbe umeelewa.Changia kwa jinsi ulivyoelewa.Mbona humu wote watu wazima kisha asilimia kubwa shule ipo. Wewe kwani una maoni gani?
 
Kwnz Kabsa Ninang'oa Kila roho Ya Zinaa Kwny Mada Hii Kwa Damu Ya Yesu Kristo.

Si Mwembamba Wala Mnene Anaevutia Ktk Mapenzi, Bali Ni Upendo Wa Dhati Alionao Mume Kwa Mkewe,au Mke Kwa Mumewe. Na Pia Namna Ratiba Zenu Mnavyopanga Za Kukutana.

ukijifanya mchungaji wakati ni kiazi tu,unajichoresha!
 
Mwanaume akiwa na dusherere la kutosha awe mwanamke mwembamba au mnene haijalishi tatizo akiwa na kibamia ndio hayo yanaanza kumbe yeye ndio tatizo anakuwa haji amini anaogopa mwanamke mnene kitu kitachomoka

Unapenda kubwa eeh?
 
Sikupanga kuwa na mpenzi toka mikoa ya kanda ya kati, ila nilikutana na mtoto mmoja mwembamba na ana kamgongo fulani hivi, kaniganda na nimemganda inshort tumependana sana. Kwake siyumbi sinesi, mwembamba ni zaidi bhana.
 
Sikupanga kuwa na mpenzi toka mikoa ya kanda ya kati, ila nilikutana na mtoto mmoja mwembamba na ana kamgongo fulani hivi, kaniganda na nimemganda inshort tumependana sana. Kwake siyumbi sinesi, mwembamba ni zaidi bhana.
Potable huyo,rahisi kugeuzika,kukunjika na kubebeka.Staili zote anafiti.Ila wanene mguu kuuinua tu shidah sometime unajishauri kutokana na uzito wake.
 
mwanamke mtamu jimboni kusiwe haba na ki bby face flani amazing,pia asiwe na shape ya kisheti tu!
 
ngoja stress za siasa nizikatie huku. naona mtoa mada ataambulia tu jibu la idadi ya wachangiaj kwa wakat flan. lakin binafs huwa napenda kutofautisha kat ya mwanamke mnene na ALIYEVIMBA (simtank). na tofaut kati ya mwembamba na aliyekonda (TOOTHPICK). napenda size ya kati nikimaanisha mgawanyo wa uwiano wa viungo uko dhahiri. yan tako hili. paja hilo. tumbo lile. mguu ule. nyonyo zile. shingo iko pale. wabantu wengi tunapenda wanawake wenye mnofu sema uzungu na ambitions zao huwakomba wengi. yakianzishwa mashindano ya miss bantu nitakuwa wa kwanza mlangon. mi mambo ya kufanya starehe na wembamba kama toothpick na mashart juu nikaambulia dudu yangu kugonga mfupa ikafungwa P.O.P sitak. kwanza huyo hata nikielekezwa na mganga naomba sharti jingne walau mgalala.
 
pigen kelele! hata siku tano! wembamba hapa mjini ndo wanafunga kazi! naomba kesho mrudi apa natoa MATOKEO BILA UPENDELEO
 
skia nseme,
kla m/mke anaraha yake mcdanganyane,
ndomana waislam wakapewa ruhusa ya kuoa wake 4, oa ujione hyo tofaut!
 
Back
Top Bottom