Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Fnyen mazoezKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fnyen mazoezKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
Mimi nina hamu ya kukulana na chibonge siku mojaKwahyo sisi wanene tuende wapi ss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wenye kitambi na nyie mnakulaga nn? Rushwa?Unene sio shida sana kama mwili umekaa vizuri. Ila mwanamke mwenye kitambi kwangu ni bure kabisa, unakuta mwanamke ana kitambi kama anakulaga watoto wa watu.
Wanawake wenye vitambi vipunguzeni, ni kwa afya ya mahusiano yenu.
Hahahahaha
Tujitese kisa nnFnyen mazoez
Umejuaje?!
Weeeh tafuta ssMimi nina hamu ya kukulana na chibonge siku moja
Nakuhitaji weweWeeeh tafuta ss
😀 😀 😀 😀 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume wenye kitambi na nyie mnakulaga nn? Rushwa?
Sent From Galaxy S9
Kiriba tumbo hakipendezi kwa wote me &ke😀 😀 😀 😀 😀
Rushwa + Bia
Ila kitambi kwa mwanaume sio ishu sana japo mimi binafsi sikipendi.
Naskia wanaume wenye vitambi wana kidude kidogo. Ila sijawahi kuprove [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Rushwa + Bia
Ila kitambi kwa mwanaume sio ishu sana japo mimi binafsi sikipendi.
Kabla sijapungua kitambi...BF wangu nilikua nikimwambia ninaumwa anasema kapime mimba..maana Hilo tumbo tumbo...Basi nlikua nacheka.....Ila kitambi nomaUnene sio shida sana kama mwili umekaa vizuri. Ila mwanamke mwenye kitambi kwangu ni bure kabisa, unakuta mwanamke ana kitambi kama anakulaga watoto wa watu.
Wanawake wenye vitambi vipunguzeni, ni kwa afya ya mahusiano yenu.