Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Mwanamke mnene na mwembamba, yupi ana mvuto kimapenzi kwa wanaume walio wengi?

Unene uwe Wa kias ndo mzurii mana Nina experience nlikua na demu wngu kimbau mbau aiseh kina cha kutosha,huku mifupa inaniumiza aiseeh full stresses...!!! Halafu kalikua na mdomo hatari kwahio ukichanganya yt hayo unachanganyikiwa [emoji16][emoji16][emoji16] wanene wana utam fulan hiv amazing style zote hawaumizii,nyama zile znasevu SNA.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew ni ke mim ni me mkuu,tofautisha,sis tunawahurimiaga sana.huonag ndoa nying wana wanafunga na madem wabovu kinoumer,
Kwani mtu hawezi mpenda demu ambae sio mzuri Sana... everyone deserves to find their person. Sidhani Kama wanaowaonea Huruma wanakuwa wamewapenda ndonmaana wanawaoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nkitaka kumwacha huwa anantumia msg kali hyo namuonea huruma tunaendelea,nshajarib sana kumwacha nashindwa,sometime anakuta picha za main chick, na ma x wazaman sabab mi huwa sifutag picha za madem zangu wote niliokua nao,ataliaaa hapo,badae tuko fresh,.ndomana nasemaga mim hata nkija mwcha huyu ntahakikisha namwacha kwenye mazingira mazur,namfungulia biashara ya uhakika yan,ila kuwa nae milele siwez,hanivutii kabisaaa skuhiz
Mhamasishe apunguze mwili, ikibidi uwe unampeleka gym

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wa nene wanavutia ule muda unamtamani, ukishamvua nguo ukapiga tako zako kadhaa ukamwaga oil, ukishalala kale kausingizi kauchovu then ukaamka, ukimtazama wakati anavaa daah huwa inakuwa shida ni kama umelala na mkwe au umelala na wale mashakumpe wa ilala.... Yale ma mama yaliyofeli maisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umenikumbusha jimama langu.... linene kwa sababu limeweka njiti mkononi ya uzazi wa mpango. Sina hamu nalo kabisa af linapenda mapenz kweli wakati mi mzuka nalo sina.

Hizo njiti hata ufanye mazoezi namna gani yananenepa tu
 
Back
Top Bottom