mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Hamna, nimeipenda tu ile coment yakoVipi mshipa?
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna, nimeipenda tu ile coment yakoVipi mshipa?
Hivi tukibet hapa kati ya mwanamke mnene na vimbaumbau nani watashinda kwa kupendwa? Mwanamke mnene anapendwa na wanavutia labda hukutane na yaliyo na ulemavu wa unene! Tunapoongelea mwanamke mnene tunaongelea Chura, huno, paja, guu ndo chakula ya muzee! Vimbaumbau utakula wapi sasa??
Huo mwili unatosha sema ujitahidi usiongezeke au usiwe na kitambiBasi mm najione bonge na mtu
Ukawa unajichekelea...Hhah umenikumbusha ex wangu alikua ananiimbia huo wimbo nikifakamia vyakula. Good memories. Wimbo wa Uno yeye alikua anaimba "tumbo" [emoji23] everybody say tumbo [emoji23][emoji23]
Sent From Galaxy S9
Duuh...uje nikufanyishe mazoezi..My friend nlikua nakimbia asubuhi sakumi nambili kilomita tatu na kupunguza wanga...nlikua na kilo 95 Saiv 80 japo target ni 65...so bado long journey
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mimi mwenye 58 kg ni TuttyfruityJamani jamani mbona ni ndogo sana hizo kilo kwakweli bora niwe bonge kuliko kuwa kimbaombao
Bado
Mkeo ni mnene wapi mkuu?Aise hili ni janga la taifa. Ni kweli wanawake wanene hawana steam kabisa. Ulichosema nakibariki 100%. Hawa wanapendeza tu kuwa side chick ila ukiweka ndani unaweza kujihisi una upungufu wa nguvu za kiume kumbe ni wao. Hawafai kukumbatia, usiku hamuwezi kushare shuka, kitu ni mbuyu.
Haki naapa kinachonitoa nje ya ndoa yangu ni unene wa mke wangu. Kipindi namchumbia alikuwa tu wastani japo alionesha kuwa na dalili za unene, akajifanya nae haupendi atafanya mazoezi. Tangu nimemuhakikishia maisha hataki kusikia neno mazoezi wala balance diet, michips, miwali anafakamia kama mchwa mpaka huwa nasikitika hivi huyu ana mpango gani?
Kuna mamake akija ananilaumu vipi mbona unamwacha ananenepa hivi? Namuuliza vipi mama nimshindishe na njaa? Yaani kosa mwanangu ningekuwa nishapiga chini ila nimenasa, mwanangu nampenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
OkMwanamke ni nyonyo, tako hips.
Hivo ndo venyewe
OkSio mimi mwenye 58 kg ni Tuttyfruity
Itakuwa nimegusa maslahi yakoHamna, nimeipenda tu ile coment yako
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
Haha hamnaItakuwa nimegusa maslahi yako
Ah chibonge mama, chibonge mtu mbadi.Chi chi chibonge Aah chi chi chi chibonge Aah minyama tu, Akipita minyama Anatingisha minyama tu. [emoji444]
Kichwa na mgongo tuwaachie ndege na ngombe sio? HahahaMwanamke ni nyonyo, tako hips.
Hivo ndo venyewe
Kichwa na mgongo tuwaachie ndege na ngombe sio? Hahaha
Matumbo jamani sio kitambiHuo mwili unatosha sema ujitahidi usiongezeke au usiwe na kitambi
Sent from my vivo X21 using Tapatalk
[emoji2][emoji2][emoji2]sawaMatumbo jamani sio kitambi