Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona mie napenda wanawake mibonge
sasa we naye unawapenda wanawake wa nini?mbona mie napenda wanawake mibonge
yaani mimi sijui inakuwaje hasa...nikumuona mwanamke cha kwanza kabisa ni kuangalia vidole vyake vya miguuni na mikononi...kuna aina fulani ya vidole nikishaviona tu basi nguvu sina tena....naweza tangaza hata ndoa ghafla!
kama hizi zangu mkuu....
![]()
Sio kweli mfano mimi napenda mwenye wowowo kuuuuubwa siangalia sura mi naangalia mpododo
hahaahas mpwa naona kweny fani....lol
sasa we naye unawapenda wanawake wa nini?
Dem akiwa slim bas awe na sura nzuri na awe sexy... Ila kama kafungasha, hata kama hajajaaliwa sura, stimu inapanda...
Du! Kumbe tunasoko
heri yangu mm kafupiiiii halafu kanenneeeee ajali nitakazosababisha labda maguta yagongane.
Mhh sisi wafupi na wanene.......pole yetu
Raha sana kuongozana nao
mtaani.
Kila jicho linawageukieni nyie kiasi ambacho midume yenye uchu inasahau
kabisa wajibu wao.
Nikiwa nimetoka lunch mchana huu wa leo maeneo ya Posta mpya, magari
mawili yamegongana kisa, madereva wote wawili walikuwa wanamshangaa
mrembo.
u mean comedy kind of life? hahahahahaha, safi!sometimes we need to refresh our mind
Fix...Fixture.. FixingAcha fix wewe!
fictions....hivi hamna dawa za kichina za kuslimisha!??Fix...Fixture.. Fixing