Tatizo utoto umekuathiri ndio mana unafikiri kila mtu mtoto. Mimi ni mwanaume, sio mtoto wa kiume. Nina mtoto wa kiume wa umri wa miaka mi 5 sasa na huyo si wa kwamza wala wa pil kuzaliwa. Sasa ndugu wewe hiz personal attacks tuziweke kando mana hazitusaidii, jibu hoja.UNAFIKIRI UNA AKIL KULIKO HIVYO VITABU MASHUHURI ULIMWENGUNI????