Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe

Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe

Mfungulie biashara ye anakua msimamizi tu ila biashara inakua ya familia. Mahesabu pia na wewe unayakagua, hiyo ya kumpa mtu mtaji wa mbei mbaya eti aendeshe biashara ilhali hujui kama anaweza kufanya biashara au lah ni kumuonea tu, lazima aone ni hela nyingi atatumia hovyo na kupata ushauri wa mashosti mwisho uje kumlaumu bure.
Mkuu shida sio kushindwa kufanya biashara kwa maana uwezo, shi ni kwamba kinachopatika kinatumika vibaya tena kwa kuhonga hivi viben10
 
Mkuu shida sio kushindwa kufanya biashara kwa maana uwezo,shi ni kwamba kinachopatika kinatumika vibaya tena kwa kuhonga hivi viben10
Sababu kubwa ni usimamizi mbovu wa biashara. Si ajabu kama uyo jamaa angekua anakagua hesabu kila siku au wiki, angejua mapema ubadhirifu na kuziba mianya mapema. Alimpa biashara wakati haiwez ndio maana akatapanya pesa.

Na lazma umuulize ye anapenda nini sio kumfungulia tu biashara unayoona wewe inafaa kwako.
 
Sababu kubwa ni usimamizi mbovu wa biashara. Si ajabu kama uyo jamaa angekua anakagua hesabu kila siku au wiki, angejua mapema ubadhirifu na kuziba mianya mapema. Alimpa biashara wakati haiwez ndio maana akatapanya pesa.

Na lazma umuulize ye anapenda nini sio kumfungulia tu biashara unayoona wewe inafaa kwako.
Atafute pesa ya kodi ya biashara, atafute pesa ya matumizi ya nyumbani, ada za watoto halafu pia ahakikishe anamsimamia mkewe asionge hizo pesa.🤣
 
Atafute pesa ya kodi ya biashara, atafute pesa ya matumizi ya nyumbani, ada za watoto halafu pia ahakikishe anamsimamia mkewe asionge hizo pesa.🤣
Ndo uanaume huo, kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, usikwepe majukumu kijana. Na sio amsimamie asihonge pesa ila awe na desturi ya kukagua biashara inaendaje.

Kama na wewe una akili moja na uyo jamaa ake mtoa mada mtahonga sana kwa kukosa usimamizi wa mali zako mwenyewe.
 
Ndo uanaume huo, kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, usikwepe majukumu kijana. Na sio amsimamie asihonge pesa ila awe na desturi ya kukagua biashara inaendaje.
Kama na wewe una akili moja na uyo jamaa ake mtoa mada mtahonga sana kwa kukosa usimamizi wa mali zako mwenyewe.
Akili ndogo.
 
Kama izo demographic data za wahusika umezitaja vizuri kabisa bila kupepesa macho, huyo kaka ni shemeji yangu na huyo dada ni binamu yangu mtoto wa mama mkubwa. Kwa kweli wacha dada aone joto la jiwe tulishamshauri kama familia anakataa kushaurika. Acha akome
 
Kama izo demographic data za wahusika umezitaja vizuri kabisa bila kupepesa macho, huyo kaka ni shemeji yangu na huyo dada ni binamu yangu mtoto wa mama mkubwa. Kwa kweli wacha dada aone joto la jiwe tulishamshauri kama familia anakataa kushaurika. Acha akome
Wanaishi wapi mkuu?
Sio lazima utaje jina kamili...mfano kama Kurasini andika Kur..ni
 
Ndo uanaume huo, kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, usikwepe majukumu kijana. Na sio amsimamie asihonge pesa ila awe na desturi ya kukagua biashara inaendaje.
Kama na wewe una akili moja na uyo jamaa ake mtoa mada mtahonga sana kwa kukosa usimamizi wa mali zako mwenye

Ndo uanaume huo, kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa, usikwepe majukumu kijana. Na sio amsimamie asihonge pesa ila awe na desturi ya kukagua biashara inaendaje.
Kama na wewe una akili moja na uyo jamaa ake mtoa mada mtahonga sana kwa kukosa usimamizi wa mali zako mwenyewe.
Jambo lolote bila usimamizi ni sawa na bure
 
Jambo lolote bila usimamizi ni sawa na bure
Ndio hivo mkuu, kama unaona mkeo analega lega mpige tafu kwa ushauri wa hapa na pale ili walau apate ABC za kuongoza biashara. Sasa umemtoa mdada watu kwao uko alikua hata hauzi pipi mnatwisha majukumu ya kufungua biashara ya mtaji wa M1+, auendeshe bila maarifa yoyote na bila usimamizi wako. Kufeli apo ni 22/7.
 
We zingatia kulinda pesa unazompa mkeo asionge ukagongewa.
Unapotea mkuu huwezi kumchunga kiasi icho yaani umpe pesa na uchunguze anatumiaje??
Kikubwa ziba mianya ya matumizi mabovu kama ivo kumtupia 1M tu bila usikamizi wowote.
 
Back
Top Bottom