KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
mm ndio maana najitahd mke wangu asiende mji aliokulia bila kuongozana na mm. namuogopa sana aliyembikiri
Unadhan hawezi mpigia simu wakutane mkoa uliozalliwa wewe. What if jamaa ndo anamfata unapoishi.?