Mwanamke mwenye makalio makubwa anapokuwa mbele yako barabarani huwa unafanyaje?

kama upo na mtu unayemuheshimu huwa kuna ka ukimya fulani ka ajabu na ka ghafla hutokea,hata ukijifanya kuingizia mada nyingine ishu inagoma.
 
kama njia haina watu wengi naangalia kwa kuibia hadi nimpite, ila kukiwa na watu wengi kama k/koo naunga tela kwa nyuma.
 
Niini Sesten niiiniii [emoji12]

Kumbuka siku ile tunaongea kwenye simu ulistaajabu mpaka nikashangaa kukuuliza eti umemuona mdada anapita huku amejaaliwa lol.

Sijui kama pale ulikumbuka kumlaani huyo shetani Sesten. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaa ningekua karibu yako kofi lingenihusu ili niache kukata shingo eeh HajarπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

Pale nilikua namshangaa shetani anavyo niringishia na kunidolishia hadi nikaweza kumdhibiti Hajar😎😎😎

Ila shetani wa kwenye 'mafurushi' ya huko nyuma kwa wadada ananguvu sana ujue, inahitaji watu makini kama mie kumshindaπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Yaani lingekuhusu kwa kweli maana utulivu ulikuwa zero. [emoji2] [emoji2]

Hahaaaa. Kwa hali ile sijuuui kama ulimdhibiti[emoji12] [emoji12] Pia nimejikuta nawaza huo umakini tu Hajar mie. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yaani lingekuhusu kwa kweli maana utulivu ulikuwa zero. [emoji2] [emoji2]

Hahaaaa. Kwa hali ile sijuuui kama ulimdhibiti[emoji12] [emoji12] Pia nimejikuta nawaza huo umakini tu Hajar mie. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaaa shetani yule pamoja na mbwembwe zake zote alidhibitiwa vilivyo Hajar

Ondoa shaka na umakini, yaani ni asilimia mia miaka mia naneπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‰
 
Mimi huwa hayanisumbui labda niamue kuelekeza akili huko ndo nitavutiwa ila nikipuuza namuona wa kawaida tu.
 
Wakuu hii ishu mnaishughulikia vip? unakofolea tu macho makalio na kupata burudani? unajivunga na simu na kuangalia pembeni? vipi ukiwa na wife, unahandle vipi hii situation.View attachment 830916View attachment 830917
huo MTIHANI ... wa kuonesha kuwa ww ni LIJALI au PUNGA/HANITHI...

haiwezekani lipite KARANDINGA,... alaf usigeuke... utakuwa na MATATIZO YA #PROBLEMS....haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…