hahaha wee kiboko kwa kweliSio hakisimami...yani akienda kwa mchepuko kikumar kinakuwa kama kina mchanga...kinakwaruza sa unafikiri atarudi😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha wee kiboko kwa kweliSio hakisimami...yani akienda kwa mchepuko kikumar kinakuwa kama kina mchanga...kinakwaruza sa unafikiri atarudi😂😂
Umnunie Mwashambwa anaewaza CCM, Imekula kwako.Mbona umetusahau sisi tunaopenda kununa hovyo🤔
Case closed 🔒 🔐Tunasema mtoa mada ni muongo aliyetukuka, apuuzwe.
Ndoa changaUnamaanisha....?
Sawa, muda si mrefu utakuwa mjane.Mbona ninazo hizo tabia zote na nimeolewa....?.
Hao wenye mdomo kama vyerehani vya Mwaijage ndio wanafaa kwenye ndoa.MWANAMKE MWENYE TABIA HIZI NI NGUMU KUDUMU NAYE KWENYE MAHUSIANO.
1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea)😇🫠😅
2. Anayeamini uchawi (ushirikina)😶🌫️☠️
3. Mwanamke anayependa hela 🫴
Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye mahusiano
4. Mwanamke ambae mapenzi yake yako kwa baba yake.
Kila kitu....daddy, ukimuudhi kdg..daddy 👺
5. Mwanamke mlokole (hasa makanisa ya kiroho)🙈
Hawa heshima yao kubwa iko kwa viongozi wao wa dini, atasikilizwa mchungaji kuliko wewe 😃😃
6. Mwanamke anayependa kujirusha 💃
Anataka outing,kuparty ,viwanja vyoote anavijua mpk band anazijua
7. Mwanamke anayependa kushindana (Asiyepitwa)
Mwenzake kavaa wigi mpya na yeye anataka, simu mpya imetoka, anaitaka
8. Mwanamke asiyeridhika.
Haridhiki kwenye mapenzi, au hata kipato au pesa unazompatia.
All in all, mbaya kwako kwa mwingine ni mzuri.
Kila mtu na mtu wake, kwako anaweza akakuchanganya lkn kumbe kwa mwingine ndiye Mwanamke anayemtaka.
Wanwake wenye kelele wanachangamsha nyumba.Sikia kwa wenzio mkuu wanakera bar zimejaa wakristo mpaka saba usiku kisa kele