Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Hapa nataka kuongea na vijana wanao jipanga kuvuta majiko au walio vuta majiko mabovu.
Nikisema mwanamke mwenye njaa namaanisha mwanamke asie na kazi au mwanamke asie taka kujishughulisha. Haijalishi yupoje.
Ukifanikiwa kumuoa mwanamke mwenye njaa Basi tegemea majanga makubwa Sana ndani ya hiyo ndoa yako ikiwemo umasikini mkubwa Sana Kama atafanikiwa kukutawala.
Mwanamke mwenye njaa Hana shughuli ya kufanya hapa muda wake mwingi lazima atautumia kuwaza midinyo tu na mahitaji yake ya pesa yote atakuelekezea wewe na ukiteteleka tu kiuchumi watakutombea wenye nazo. Na mkeo hata Isha kuwashobokea wanaume wenye hela. Na Kama unajiweza kipesa mzee hapa lazima afanye juu chini akuweke Kati usije ukamuacha kinacho fuata hapa ni kuwekwa kwenye chupa ili aweze kukucontrol vizuri.
Kama mjuavyo "idle mind is the workshop of devil".
Hivi kichwa kisicho taka kujishughulisha na hesabu za hasara na faida, nifanye Nini kuongeza kipato Cha familia, niongezee nn kwenye biashara yangu, nimuombe kiasi gani mme anibust kwenye mtaji, .....nk hivi kichwa kisicho taka kufikiri hayo unadhani kitafikiri Nini.....?
Mwanamke mwenye njaa ukimpata kwa njaa zake jua umeoa njaa na akishiba akili zake zitamkaa sawa na kutafuta wa kufanana nae na kukuacha na njaa ulio mpendea.
Kuna utofauti mkubwa Sana Kati ya mwanamke mwenye njaa na Alie Shiba kwenye maamuzi yao wanapo ingia ndoani.
NB
Ni Bora ukamuoa mwanamke anae uza vitumbua mtaani maana anajitambua Ila kaamua kuuheshimu mwili wake maana angetaka kuishi kwa kudanga asinge shindwa maana mtaji ni mbunye tu na mbususu anayo kuliko hao unao waona wamependeza na hakuna kazi wanazo fanya.
Kazi kwenu
Nikisema mwanamke mwenye njaa namaanisha mwanamke asie na kazi au mwanamke asie taka kujishughulisha. Haijalishi yupoje.
Ukifanikiwa kumuoa mwanamke mwenye njaa Basi tegemea majanga makubwa Sana ndani ya hiyo ndoa yako ikiwemo umasikini mkubwa Sana Kama atafanikiwa kukutawala.
Mwanamke mwenye njaa Hana shughuli ya kufanya hapa muda wake mwingi lazima atautumia kuwaza midinyo tu na mahitaji yake ya pesa yote atakuelekezea wewe na ukiteteleka tu kiuchumi watakutombea wenye nazo. Na mkeo hata Isha kuwashobokea wanaume wenye hela. Na Kama unajiweza kipesa mzee hapa lazima afanye juu chini akuweke Kati usije ukamuacha kinacho fuata hapa ni kuwekwa kwenye chupa ili aweze kukucontrol vizuri.
Kama mjuavyo "idle mind is the workshop of devil".
Hivi kichwa kisicho taka kujishughulisha na hesabu za hasara na faida, nifanye Nini kuongeza kipato Cha familia, niongezee nn kwenye biashara yangu, nimuombe kiasi gani mme anibust kwenye mtaji, .....nk hivi kichwa kisicho taka kufikiri hayo unadhani kitafikiri Nini.....?
Mwanamke mwenye njaa ukimpata kwa njaa zake jua umeoa njaa na akishiba akili zake zitamkaa sawa na kutafuta wa kufanana nae na kukuacha na njaa ulio mpendea.
Kuna utofauti mkubwa Sana Kati ya mwanamke mwenye njaa na Alie Shiba kwenye maamuzi yao wanapo ingia ndoani.
NB
Ni Bora ukamuoa mwanamke anae uza vitumbua mtaani maana anajitambua Ila kaamua kuuheshimu mwili wake maana angetaka kuishi kwa kudanga asinge shindwa maana mtaji ni mbunye tu na mbususu anayo kuliko hao unao waona wamependeza na hakuna kazi wanazo fanya.
Kazi kwenu