miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
Ili ukalelewe?Demu aliyekaa tu ni kero Kwa kweli, mda wote anakupiga simu , hajui hata upo busy na kazi usipopokea ana nuna , Sare ya kwaya anakuomba wewe , mara kiatu , mara sijui nini na uchuro kibao , demu kama huyo kukuroga ni kugusa tuuu , piga chini, Bora uwe na single mother anayepata 200 , au 300 yake
Hapo kwenye msitar wa mwisho wanaume hamuuangaliagi ila ndo msitari wenye nguvu sana,unashangaa mambo yako hayaendi kumbe ni machoz ya mkeoImeandikwa
1 Petro 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu;
maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili maombi yenu yasizuiliwe na chochote.
1 Peter 3:7
Husbands, in the same way be considerate as you live with your wives, and treat them with respect as the weaker partner and as heirs with you of the gracious gift of life, so that nothing will hinder your prayers.
Hii kitu huwa siiamini...Je kama mwanamke ana njaa ila nyota yake inafanya mambo yako yaende sawa hapa imekaaje mkuu?
Ukitaka kufanikiwa ni lazima umuheshimu mke wako, ni kweli wengi hawajali - mkeo akitoka machozi ya uchungu kwa namna umtendanvyo ndugu yangu - you have to pay it trust me.Hapo kwenye msitar wa mwisho wanaume hamuuangaliagi ila ndo msitari wenye nguvu sana,unashangaa mambo yako hayaendi kumbe ni machoz ya mkeo
Hapo nimezungumza kwa wanawake wanao jishughulisha tu. Automatically mwanamke akijishughulisha hayo yote utayapataKwa sisi mabaharia hao wasio na kazi ndiyo wakuoa sasa.Sifa yao kuu katika ndoa ni UVUMILI,WALEZI BORA WA WATOTO,WANYENYEKEVU SANA KWA WAME ZAO,NI WENYE HESHIMA KWA WAKWE ZAO.Aiseee!Wanawake hao mi uwezi nidanganya dhidi yao.
Hao wengine wenye kazi na pesa so wanawake wa kuolewa na wanaume maisha ya kawaida.Sifa zao kuu ni VIBURI,WABISHI NA WAJUAJI,SIYO WALEZI BORA WA WATOTO,WACHOYO NA UPENDELEA MAKWAO TU,WANA DHARAU SANA KWA MUME NA WAKWE ZAO PIA,NI WABINAFSI SANA.Yaani hawa ni wanawake pasua kichwa sana kwa waumeo zao.
Acha uongo na ujinga ....Hawa wanaume walio fanikiwa wakiwa hawajaoa imekuaje....?ukitaka kufanikiwa ni lazima umuheshimu mke wako, ni kweli wengi hawajali - mkeo akitoka machozi ya uchungu kwa namna umtendanvyo ndugu yangu - you have to pay it trust me.
Sawa ndugu, fanya unaloamini wewe - oa mke then mkimbie yeye na watoto wako - kaishi nyumba ndogo afu utaona kitakachotokea kabla hujafa.Acha uongo na ujinga ....Hawa wanaume walio fanikiwa wakiwa hawajaoa imekuaje....?
[emoji38][emoji38][emoji38] Bro inavyo onesha wanawake wamekufunga ipasavyo maana akili zako zote zipo kwao
Mbona ghafla sana jamani[emoji23][emoji23][emoji23]Demu aliyekaa tu ni kero Kwa kweli, mda wote anakupiga simu , hajui hata upo busy na kazi usipopokea ana nuna , Sare ya kwaya anakuomba wewe , mara kiatu , mara sijui nini na uchuro kibao , demu kama huyo kukuroga ni kugusa tuuu , piga chini, Bora uwe na single mother anayepata 200 , au 300 yake
Miss call 45 zimeleta shida naona mnanangwa