Mwanamke mwenye njaa hafai kwa matumizi ya NDOA

Kuchapiwa kupo kila kona mtasema sana lakini genye kila mmoja anazo. Kunya anye kuku akinya bata kahalisha mfyuuuuuuuu

#ikikuumamezawwmbe
#povuuu
 
Oa mwanamke yeyeto umpendae akibadilika badilika nae
 
Kuoa Hakuna garantii Sana binadamu ni flexibility ubadilika badilika hata ukioa malaika anaweza geuka shetani.
Hata hao wenye pesa bila pesa watakusumbua,
We tafuta pesa.
Alie sema anatafuta mawe Nani ....? Kama hayana formula kaoe vichaa wanao zurula tuamin kweli hayana formula
 
Kuchapiwa kupo kila kona mtasema sana lakini genye kila mmoja anazo. Kunya anye kuku akinya bata kahalisha mfyuuuuuuuu

#ikikuumamezawwmbe
#povuuu
Fanya kazi
 
sawa ndugu, fanya unaloamini wewe - oa mke then mkimbie yeye na watoto wako - kaishi nyumba ndogo afu utaona kitakachotokea kabla hujafa.
Ukimuacha mwanamke baada ya kufanikiwa ni lazima atakufanyizia.
Usikimbie damu yako ni laana hata kama umekimbia gubu makelele endelea kumuhudumia na familia.
 
umeanza vizuri ,mwishoni umeharibu kila kitu mkuu
 
Alie sema anatafuta mawe Nani ....? Kama hayana formula kaoe vichaa wanao zurula tuamin kweli hayana formula

Hata wazururaji wakichoka utulia,tena huwa na life experience.
 
Si kweli!! mwanamke bana ni kismart tu baaasi!! awe na kazi asiwe nayo, awe kilema sura km remmy weee!! angalia je mambo yako yanaenda super?..... km ana kismart bana apige mizinga tu kadiri awezavyo pesa si ipo??

usafiri, nyumba, magari, tena naongezea na ndgu zake waje pia na kwao jenga mjighorofa wa maana pes si ipo?? sasa ya nini nitafute mwenye kazi meneja lkn mikosi tupu!! atakutesa na hela zake!....mke ni kismart bana!
 
Mkuu katika suala la ndoa kupata mke 90% kakamilika ni ngumu Sana.

Ila kwa sasa adui mkubwa wa ndoa zetu ni mama mkwe..
Haswa ikiwa baba mkwe hana sauti.

Mama mkwe akikupenda basi utaishi kama peponi ktk ndoa yako.

Wanawake wengi ndoa zao huvunjika kwa ushauri wa mama zao..

mke hata awe na kazi na mafanikio akipata mama kichwa maji basi ujuwe ndoa huna..

Mke mshauri wa ndoa yake ni mama yake.
 
mapenzi hayana fomula na wengi wameowa wanawake wa aina hiyo.
 
Ukitaka kufanikiwa ni lazima umuheshimu mke wako, ni kweli wengi hawajali - mkeo akitoka machozi ya uchungu kwa namna umtendanvyo ndugu yangu - you have to pay it trust me.
Sasa wengi huwa hawalijui hilo
 
Mkuu tafuta pesa umfungulie mkeo duka aingize pesa bila kutoa jasho ili aendelee kuwa pambo la nyumba unataka afanye kazi juani achakae umkimbie??
 
Ukimuacha mwanamke baada ya kufanikiwa ni lazima atakufanyizia.
Usikimbie damu yako ni laana hata kama umekimbia gubu makelele endelea kumuhudumia na familia.
Gubu na makelele mnayasababisha wenyewe maana unakuta unachepuka mpaka mkeo anajua sasa kuna wengine hawawez kukaa kimya, akiongea unasema gubu, be faithful to your wife afu uone kama kutakuwepo na makelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…