Mwanamke mwenye umri wa miaka 37 atumia kidole kimoja kujenga maisha ya furaha

Mwanamke mwenye umri wa miaka 37 atumia kidole kimoja kujenga maisha ya furaha

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Julai Mosi 2022, katika Kijiji cha Desheng, Mkoani Shaanxi China, Bibi Zou Wenling mwenye umri wa miaka 37 aliyepoteza vidole tisa alipokuwa na umri wa mwaka mmoja anatumia kidole kimoja kudarizi, kulima na kufuga kuku akiwa na tabasamu kukabiliana na maisha magumu.
VCG111398572960.jpg

VCG111398572958.jpg

VCG111398572959.jpg
 
1. Tuwafundishe na ombaomba wetu wanaojimudu kiasi fulani kimaumbile wasiwagande sana wengine kwa kuwafanya kitegauchumi chao ilhali wanaweza kabisa kujitafutia kipato halali kwa juhudi na hali zao za ulemavu.

2. Wale wanaowatumia walemavu kama chuma-ulete, jehanamu inawahusu.

3. Walemavu wanaowanyanyasa watoto na wanafamilia, ndugu, jamaa, na marafiki kuwatembeza kila mahali ili kuombaomba, huku wangeweza kutulia mahali na kufanya kazi fulani ya kipato kulingana na ulemavu na pia uwezo wao, wanapaswa kuelimishwa kubadili fikra na mtazamo wao.

4. Walemavu wasidhani kwamba wanawadai watu ^wazima^ eti tu kwa kuwa wao ni walemavu.

#Disability Is Not Inability
 
Back
Top Bottom