Mwlmgomaji
Member
- Aug 3, 2012
- 93
- 6
Kwa maana ya kulelewa ni jimama....karibu dar....
yupo dar bwana si amesema MLIMANI au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana ya kulelewa ni jimama....karibu dar....
Kwani jimama linaanzia umli gani kwa tafsiri yako?kwa mwanamke wa umri huo kwangu sio jimama, sijui kwako.
yupo dar bwana si amesema MLIMANI au?
Kwa jinsi inavyo onyesha kijana utakuwa na busara sana, i like you. Ningekuwa na umri huo ningekutafuta
Mie kwa uelewa wangu unahitaji kupanua wigo na marafiki wa wanawake wa miaka 35 na kuendelea. Lakini kuna faida na hasara. Faida ni kwamba mipango yako itaenda vyema. Lakini ukifanikiwa wewe katika maisha yako utakuja na kusema "SITAKI MWANAMKE WA MIAKA 35 NA KUENDELEA..."
Kaka FRANCIS njia moja wapo ya kupata kazi jiangalie upo katika Faculty gani? Na ongeza ku compete na watu wengne hapo chuo ili GPA iwe yakuwafanya watu wakupe kazi fasta. Mie nimepata kazi lakini jitahidi upate kazi.
Kwani jimama linaanzia umli gani kwa tafsiri yako?
Wewe binafsi una umri wa miaka mingapi?
Yupo mlimani ila mgeni mji huu.....
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa suala la umri wako ni personal issue,lakini kumbuka umri ni suala muhimu sana katika kutatua suala lako.Very personal
Kwa kuwa kigezo kikuu ulichokiweka awali ni umri,basi waweza kujipatia jimama au mama itategemea na bahati yako!Jimama ni mwanamke anayeweza kukuzaa, na mara nyng mtu kufkia hatua kuitwa jimama manake hajiheshimu. Kwa anayejiheshimu huitwa mama.
Siku zote mwanaume ni lazima ugangamae. Hizi tabia unazoonyesha za kutaka kuonewa onewa huruma siyo za kiume!!
Hebu acha kutuaibisha wanaume wenzako!!
Mkuu nakubaliana na wewe kuwa suala la umri wako ni personal issue,lakini kumbuka umri ni suala muhimu sana katika kutatua suala lako.
Mimi ni mwanaume na picha yangu ni kamainavyoonekana hapo juu.kama wewe ni mwanamke wa umri huo PM lakn siwez kuweka umri wangu hadharan.
Makubwa.... Huyu mwanamke anayetafutwa itakuwa ni kwa ajili ya issue nyingine zilizojificha...
Ushauri: Maliza shule, tafuta ajira, ukikosa jiajiri usitutegemee sisi wamama ........
Kwa kuwa kigezo kikuu ulichokiweka awali ni umri,basi waweza kujipatia jimama au mama itategemea na bahati yako!
yoooooooo,nishangae kihaya mie wewe una umri gani?
attack my arguement and not me