Mwanamke mzuri kuwa mwaminifu ni mtihani

Mwanamke mzuri kuwa mwaminifu ni mtihani

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Huwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?

Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
 
mwanamke mzuri ni kujitafutia kufa mapema.

na vitu vitakavo kufanya kufa mapema
-mawazo ya kujua yupo nani
-kumchunga sana
-kutafuta pesa kwa nguvu ili kubaki kwenye imaya yako
-mda mwingi wa romantic na care ya PGO
 
mwanamke mzuri ni kujitafutia kufa mapema.

na vitu vitakavo kufanya kufa mapema
-mawazo ya kujua yupo nani
-kumchunga sana
-kutafuta pesa kwa nguvu ili kubaki kwenye imaya yako
-mda mwingi wa romantic na care ya PGO
Ubinadamu kazi sana
 
Huwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?
Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule😅
 
Hakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! 😅
Na mke wa mtoa mada Ni guluguja ndo maana anatolea udenda wake wa rafiki zake
 
Wahenga/Babu na Bibi zetu walioa Ke wenye haiba ya uanawake(tabia njema + hofu ya Mungu).

Wewe unataka kuoa Ke ambaye ukipita naye kila kona ya mtaa njemba zinasitisha hadi kazi zao kwa kuvutiwa na huyo Ke.

Delilah & Rahabu walikuwa visu haswaa lakini hawakuolewa...jitafakari, chukua hatua kwani si kila Ke ni wa kuolewa.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom