Ulimuona?
Sio kumuona tu wahuni wanapiga mbona kila wakitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimuona?
Unataka jamaa aanze kulia?Sio kumuona tu wahuni wanapiga mbona kila wakitaka
Inategemea na jicho kweli kama yule wako uliyempa sifa mingiiiiiii halafu wengine hawakuona sifa hizo [emoji2957][emoji2957][emoji2957]Hakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! [emoji28]
Au ni sawa na kulima shamba la bangi karibu na kambi ya jeshi.Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] Daah ko alimua kufa tu sabu hakua na uwezo wa kumcontrol?Mwenyekiti wa ipp alidanja kwa sababu ya kumiliki bebe mkali
Mzee ana mke mkali afu nguvu za kupiga tako Hana na Bebe ake mitoko ya kila siku haiishi...! Mzee akaamua ajifie tu
Heheheeeee huyo ni chaguo lakooooo Ni chaguo lako, pambana nae hivyo hivyoAnaelekeana na wewe
[emoji116][emoji116][emoji116]Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule[emoji28]
Alafu wanafunzu wenyewe wana slogan ya "mwanafunzi huwa harogwi" 😂😂😂😂Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule😅
Aliona Mambo yasiwe mengi akawaachia vijana wapaka putururu.[emoji23][emoji23][emoji23] Daah ko alimua kufa tu sabu hakua na uwezo wa kumcontrol?
Unantafuta ubaya eeh!Inategemea na jicho kweli kama yule wako uliyempa sifa mingiiiiiii halafu wengine hawakuona sifa hizo [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hahahahahahah si bora hata kambi ya jeshi! Kulima bangi kwenye bustani za ubalozi wa MarekaniAu ni sawa na kulima shamba la bangi karibu na kambi ya jeshi.
[emoji41][emoji41]
😅😅😅😅😅😅😅[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1956412
Kelele zote hizi kumbe unacheza na theories, weka ndani kisu uone shughuli yake.tutakuwekeeni thread za wenzenu waliooa lkn wanaishi maisha mabaya na stress kulko hata wasio oa wew wajiona mjanja kuwa na ndoa lkn ujue kuwa siku mkianza kuchokana na kuzoeana ndpo utajua hujui, jinsi unavyotaman wake za watu, ndvyo mkeo anataman waume za watu, ipo siku tamaa zenu zitajiziirisha pale mtakaposhindwa kuzizuia.
kama unajiona una tamaa ulioa ili iweje?, kwann usingebaki single ama ukae uwe kiboyfrend tu, kulko kuchezea ndoa ivo....nyie ndiomnasabbsha watu tuogope kuoa
.
[emoji2088][emoji2088][emoji2088]Unantafuta ubaya eeh!