Mwanamke mzuri kuwa mwaminifu ni mtihani

Mwanamke mzuri kuwa mwaminifu ni mtihani

Mwenyekiti wa ipp alidanja kwa sababu ya kumiliki bebe mkali
Mzee ana mke mkali afu nguvu za kupiga tako Hana na Bebe ake mitoko ya kila siku haiishi...! Mzee akaamua ajifie tu
 
Hakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! [emoji28]
Inategemea na jicho kweli kama yule wako uliyempa sifa mingiiiiiii halafu wengine hawakuona sifa hizo [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mwenyekiti wa ipp alidanja kwa sababu ya kumiliki bebe mkali
Mzee ana mke mkali afu nguvu za kupiga tako Hana na Bebe ake mitoko ya kila siku haiishi...! Mzee akaamua ajifie tu
[emoji23][emoji23][emoji23] Daah ko alimua kufa tu sabu hakua na uwezo wa kumcontrol?
 
Weka picha tumuone maana uzuri wa mtu upo machoni pa mtazamaji
 
Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule[emoji28]
[emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20210928-200400_Chrome.jpg
 
Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shule😅
Alafu wanafunzu wenyewe wana slogan ya "mwanafunzi huwa harogwi" 😂😂😂😂
Tulime tu alovera na maharagwe tupunguze uwezekano wa pigipiwa sana
 
tutakuwekeeni thread za wenzenu waliooa lkn wanaishi maisha mabaya na stress kulko hata wasio oa wew wajiona mjanja kuwa na ndoa lkn ujue kuwa siku mkianza kuchokana na kuzoeana ndpo utajua hujui, jinsi unavyotaman wake za watu, ndvyo mkeo anataman waume za watu, ipo siku tamaa zenu zitajiziirisha pale mtakaposhindwa kuzizuia.

kama unajiona una tamaa ulioa ili iweje?, kwann usingebaki single ama ukae uwe kiboyfrend tu, kulko kuchezea ndoa ivo....nyie ndiomnasabbsha watu tuogope kuoa
.
 
tutakuwekeeni thread za wenzenu waliooa lkn wanaishi maisha mabaya na stress kulko hata wasio oa wew wajiona mjanja kuwa na ndoa lkn ujue kuwa siku mkianza kuchokana na kuzoeana ndpo utajua hujui, jinsi unavyotaman wake za watu, ndvyo mkeo anataman waume za watu, ipo siku tamaa zenu zitajiziirisha pale mtakaposhindwa kuzizuia.

kama unajiona una tamaa ulioa ili iweje?, kwann usingebaki single ama ukae uwe kiboyfrend tu, kulko kuchezea ndoa ivo....nyie ndiomnasabbsha watu tuogope kuoa
.
Kelele zote hizi kumbe unacheza na theories, weka ndani kisu uone shughuli yake.
 
Back
Top Bottom