Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Mkiambiwa muoe toto nzuri mnajibaraguza ona sasa unavyoweweseka, poule kaka baki na chaguo lakoNimeanza kukutamani na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkiambiwa muoe toto nzuri mnajibaraguza ona sasa unavyoweweseka, poule kaka baki na chaguo lakoNimeanza kukutamani na wewe
Oa mke wa kawaida,hao wazuri unawabonyeza mdogo mdogo huko kitaa.mwanamke mzuri ni kujitafutia kufa mapema.
na vitu vitakavo kufanya kufa mapema
-mawazo ya kujua yupo nani
-kumchunga sana
-kutafuta pesa kwa nguvu ili kubaki kwenye imaya yako
-mda mwingi wa romantic na care ya PGO
Kabebe washamba wenzioNataka nimwache ili nibebe toto Noelia. Una hamasa mtoto mzuri?
Na wengine wanatembea na chumvi tayari kula mademu na wake za watuHuwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?
Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
Jitahidi na umwambie afanye ila isijulikane...utaishi kwa amaniHuwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?
Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
Mwanamke mzuri yupo kama Jokate hv.....Hivi mwanamke mzuri ni yupi na mbaya ni yupi?
Mkuu naomba nikuoe kama bado, ili na mimi nije nikuanzishie uzi hapa wa "Naombeni msaada, mke wangu ni Guluguja"Na mke wa mtoa mada Ni guluguja ndo maana anatolea udenda wake wa rafiki zake
RuksaaaMkuu naomba nikuoe kama bado, ili na mimi nije nikuanzishie uzi hapa wa "Naombeni msaada, mke wangu ni Guluguja"
Kwamba unazunguka kijanja ili nithibitishe😅😅😅 ndg mi kuwa guluguja haihusiani na wewe kuoa pasikali hlf humu unajishaua una pisikali,Wa hivi huwa mnakuwa MAGULUGUJA [emoji23][emoji23][emoji23]
Ungekuwa unamfahamu angalau, anyway nahisi una msongo wa mawazo unaohusiana na haya mambo. Tulia yatapita!Kwamba unazunguka kijanja ili nithibitishe[emoji28][emoji28][emoji28] ndg mi kuwa guluguja haihusiani na wewe kuoa pasikali hlf humu unajishaua una pisikali,
Mwenye msongo wa mawazo Ni wewe unaehangaika kuelezea mambo yako na mkeo humu,Ungekuwa unamfahamu angalau, anyway nahisi una msongo wa mawazo unaohusiana na haya mambo. Tulia yatapita!
Kibongo bongo siku hizi uzuri unapimwa kwa kuangalia ujazo wa tako.Hivi mwanamke mzuri ni yupi na mbaya ni yupi?
NaamHuwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?
Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
HahahaKibongo bongo siku hizi uzuri unapimwa kwa kuangalia ujazo wa tako.
Mkeo mbovu tu na wewe usituchoshe