Ubinadamu kazi sanamwanamke mzuri ni kujitafutia kufa mapema.
na vitu vitakavo kufanya kufa mapema
-mawazo ya kujua yupo nani
-kumchunga sana
-kutafuta pesa kwa nguvu ili kubaki kwenye imaya yako
-mda mwingi wa romantic na care ya PGO
Ulimuona?Mkeo mbovu tu na wewe usituchoshe
Mkeo mbovu tu na wewe usituchoshe
NdioUlimuona?
Unaambiwa kuoa mwanamke mrembo sana ni kama kulima shamba la miwa karibu na shuleπHuwa nawaza, Mimi mke wangu mzuri lakini kuna wake wa jamaa zangu nao ni wakali sasa navyowatamani utadhani mke wangu havutii. Najiuliza je wakulungwa ambao hawafahamu kama mwanamke mzuri kaolewa wanamtongoza mara ngapi na anakwepa vishawishi mara ngapi?
Wengine wanaenda hadi kwa waganga Ili ampate mwanamke mzuri. Wengine Wana mkwanja wa kuzidi, mtoto wa kike akiruka viunzi vyote hivyo apewe tuzo.
Ndiyo "chombo" chake cha kabatini hicho.Usimuonee gere!πππππNdio
Ni namna unavyomuumba mawazoni mwako.Hivi mwanamke mzuri ni yupi na mbaya ni yupi?
Hakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! πHivi mwanamke mzuri ni yupi na mbaya ni yupi?
Nimuonee gere kwa lipi we kajamaa unaonekana kanoko SanaNdiyo "chombo" chake cha kabatini hicho.Usimuonee gere!πππππ
Guluguja tena? Astaghifirullah!ππππHakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! π
Na mke wa mtoa mada Ni guluguja ndo maana anatolea udenda wake wa rafiki zakeHakuna mwanamke mbaya ila kuna mwanamke mrembo na asiye mrembo! Itategemea na jicho la mtu ila wanawake warembo wapo na wale maguluguja wapo pia! π
Namtetea semegi.Nimuonee gere kwa lipi we kajamaa unaonekana kanoko Sana
KwendraaaaaaaaNamtetea semegi.
Sawa.Ngoja nikaangalie hata Simba na Mwadui.Kwendraaaaaaaa
HayaSawa.Ngoja nikaangalie hata Simba na Mwadui.