Mwanamke mzuri nimempata

Mwanamke mzuri nimempata

Kuku kapanda baiskel bata kavaa laizoni
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Acha basi nyimbo ya kitambo sana kumbe wewe ni muenga😂😂😂😂😂
 
hivi aliimba nan vile mrembo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]darasa la pili adi leo unakumbuka
Bola hiyo nikiwa na miaka 6 kaka yangu alikula KWA mchungaji nikamuahidi sito sahau mpaka leo namkumbushaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bola hiyo nikiwa na miaka 6 kaka yangu alikula KWA mchungaji nikamuahidi sito sahau mpaka leo namkumbushaga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yan wewe huwa unanifurahisha sana comment zako😂😂😂😂😂😂😂unawazaga nini mrembo
 
sanaa yan kipindi hicho unatamani kumuona huyu jamaa alikuwa na balaa sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tuachane na huyo kuna mtu anaitwa babu junior utamsikiaaa Oooooooooooh oooooooooh aha aha aha mr chocolate kula nanasi kwahitaji nafasi weeeeee tulikua hatupumui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tuachane na huyo kuna mtu anaitwa babu junior utamsikiaaa Oooooooooooh oooooooooh aha aha aha mr chocolate kula nanasi kwahitaji nafasi weeeeee tulikua hatupumui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
aisee wewe mrembo mambo yote ayo ulikuwa unayajulia wapi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom