AK47 TRIGER
Member
- Feb 27, 2013
- 57
- 8
- Thread starter
- #21
Popote nitakapo muona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapo lakini inabidi uwe muwazi!!Popote nitakapo muona
Mpashe Shosti, vile vile mwanaume hasifiwi kula bali kutia mzigo!Mwanaume hajisifii sura......hao mara nyingi hutokea kuwa sio rizki.......mwanaume sifa yake ipo kwa wallet na bed........
Kimori@ umeonaee mwaka wangu huu
Aaaahahaha kweli nyie ni washauri wazuri ninge kuwa waziri ninge waweka mahakimu
Nahisi unajua kuwa hakuna uhusiano usiokuwa na faida kwa pande mbili. Nyie mnaweza kutupenda kwa ajili ya natural resources zetu (kugegenda), ila sisi kwa kawaida hupenda aidha kwa kujaliwa au kupunguziwa mikanganyiko iwe ni fedha, kampani, uhifadhi n.k. Siamini kuna mwanamke anaweza kumpenda mwanaume kwa ajili ya kugegedwa! Kugegendana ni matokeo ndio maana mwanamke anaweza kubakwa ila mwanamke hawezi kubaka.Na sababu ya mimi kuto muona wakumpenda ni kwasababu ninao waona wengi wao wako ki biashara sio kimapenzi
Bamukunda
Mwanaume hajisifii sura......hao mara nyingi hutokea kuwa sio rizki.......mwanaume sifa yake ipo kwa wallet na bed........