Mwanamke ndiyo kiumbe hatari zaidi kuwahi kutokea duniani!

Mwanamke ndiyo kiumbe hatari zaidi kuwahi kutokea duniani!

Cc: Masanja mkandamizaji, mmemuona msukuma wangu? Kumbe wahuni wanamchora tu🤣🤣
Masanja kwa kumuangalia tu anaonekana sio mtulivu kwenye ndoa yake ogopa sana Mwanaume anayeonesha jinsi anavyokupenda mbele ya jamiii.
 
We umesha elezwa ishi nao Kwa akili ukujiuliza Kwa nini isiwe Simba na wadudu wengine
 
Shetani ajaacha kumdanganya Hawa hadi kesho
 
No woman no cry. Utafakari huu wimbo vizuri.
 
Wakatoliki sio wajinga kutoruhusu mapadri kuoa waliona mbali. Na siku wakiruhusu tu na kanisa litasambaratika kabisa.
 
La maana ni kuzingatiwa kilichoandikwa kwenye Biblia "ishini nao kwa kutumia akili"
 
Wamekufanyaje tena ndugu yangu[emoji23]
C7712D7B-1756-4B9E-97F3-C6EBD04EF21A.jpeg


696F605C-402E-4E71-BCE3-B8624E117FF9.jpeg
 
Back
Top Bottom