Masanja kwa kumuangalia tu anaonekana sio mtulivu kwenye ndoa yake ogopa sana Mwanaume anayeonesha jinsi anavyokupenda mbele ya jamiii.Cc: Masanja mkandamizaji, mmemuona msukuma wangu? Kumbe wahuni wanamchora tu🤣🤣
na wanaoa pia hawajali kabisa.Umechelewa kujua wenzio wanafahamu siku nyingii