Mwanamke ni nani?

Mwanamke ni nani?

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
 
Naandika kwa uchungu nilichukua hela ya shemeji yenu ikazungusha kwenye project home pa moto nichangie wadau?
But kwangu ni mafunzo.
 
Umehaswa Ishi Nao Kwa Akili,,,Inawezekana Kwa Kauli Hiyo Ama Wana Akili Kutuzidi,,,Tunaakili Kuwazidi,,,Tuna Mlingano Wa Akili,,,Lakini Kwanini Sisi Me Ndio Tulisisitizwa Hilo La Kuishi Na Ke Kwa Akili Na Kwanini Haikuwa Wao Ndio Iwe Kinyume Chake Na Mbaya Zaidi Walioandika Hayo Kwa Ma'asilimia Kibao Ni Jinsia Me.
 
Umehaswa Ishi Nao Kwa Akili,,,Inawezekana Kwa Kauli Hiyo Ama Wana Akili Kutuzidi,,,Tunaakili Kuwazidi,,,Tuna Mlingano Wa Akili,,,Lakini Kwanini Sisi Me Ndio Tulisisitizwa Hilo La Kuishi Na Ke Kwa Akili Na Kwanini Haikuwa Wao Ndio Iwe Kinyume Chake Na Mbaya Zaidi Walioandika Hayo Kwa Ma'asilimia Kibao Ni Jinsia Me.
Shida ya wanawake hawana mwalimu mmoja na wote anataka awasimulie mambo yake wamshauri.
Wakati hata sio wataalamu wa mambo ya ushauri zaidi uwapotosha, kwa sababu Pana bifu la asili Kati jinsia hizi mbili baada ya mke wa kwanza wa Adam kupigwa chini na Adam akajenga bifu endelevu hadi kesho na uzao wa kiume wa adamu.
 
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
Kama umefanyiwa hayo na mke wako usijumuishe kuwa wanawake wote wako hivyo.
 
Shida ya wanawake hawana mwalimu mmoja na wote anataka awasimulie mambo yake wamshauri.
Wakati hata sio wataalamu wa mambo ya ushauri zaidi uwapotosha, kwa sababu Pana bifu la asili Kati jinsia hizi mbili baada ya mke wa kwanza wa Adam kupigwa chini na Adam akajenga bifu endelevu hadi kesho na uzao wa kiume wa adamu.
Basi Maisha Yaendelee,,Sasa Kama Umekwishajua Mwanafunzi Hana Mwalimu Mmoja,,Unadhani Huyo Mwanafunzi Ana Uwezo Kiasi Gani Au Hana Uwezo Kiasi Gani??Wewe Subiria Nafasi Yako Ya Ualimu Wako Kwao Katika Harakati Za Maisha Ya Kila Siku Na Mwisho Utapima Kati Ya Mwanafunzi Na Mwalimu Nani Mwalimu?Kati Ya Mwalimu Na Mwanafunzi Nani Mwanafunzi Au La Wote Ni Walimu Au Wote Ni Wanafunzi?Au Hakuna Hata Kimojawapo Kati Hivyo Vyote 2...Majibu Utabaki Nayo Nayo Wewe Mwenyewe Ndugu.
 
Mwanamke ni mlaghai alinilaghai nikalanae hela ya ada ilipoisha sikumuona aliniacha solemba!
 
mwanamke ni jini mufilisi lilojipa mwili wa kibinadamu ila linauwezo wakuzaa binadamu wakiume na majini mufilisi menzake ya kike..over!!
 
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
summary: Mwanamke ni kiumbe mbinafsi.
 
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
MamaSamia2025 ni mwanaume, anatamani awe MWANAMKE, hii roho ya ushoga inayomuandama
 
Back
Top Bottom