Mwanamke ni nani?

Mwanamke ni nani?

Tafuta Kazi Ambazo Hazijatangazwa

Mvuvi mwenye wavu mkubwa zaidi ndiye mwenye uwezekano mkubwa wa kuvua samaki. Vivyo hivyo, kujua jinsi ya kupanua “wavu” wako kutafanya uwe na uwezekano mkubwa wa kupata kazi. Ikiwa unatafuta kazi kwa kujibu tu matangazo yaliyo kwenye magazeti au kwenye Intaneti, huenda ikawa unapitwa na kazi nyingi. Kazi nyingi hazitangazwi. Unawezaje kutafuta kazi hizo?
Vipi siku hizi umefungua kanisa unahubiri "kazi" ama
 
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
Kumbukumbu anayompiga picha yenu harusi wanawake hawana fomula
 
1.Mwanamke ni binadamu mwenye anafunguliwa biashara ya kuuza mboga na mumewe halafu kama mume amekosa pesa aambiwe mke chukua mboga tupike anakasirika na kusema mumewe atamfilisisha biashara yake anasahau kua alipewa hyo biashara ndio mume akikosa aweze kumsaidia na ukumbuke pia yeye atakula pamoja na watoto 🤣🤣

2.Mwanamke ni binadamu mwenye anaomba mumewe pesa ya kusongwa ila mume amekosa anamwambia kama uko nayo tumia halafu nitakurudushia anaanza kumdai Kila siku akisema angejua hangemkopesha na anasahau alijirembesha yeye 🤣🤣

3.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekosa pesa ya kulipia watoto fees so anaambia mkewe lipia watoto fees ndio wafanye mtihani na analipa lkn itakua vita kwa nyumba akidai mumewe amlipe pesa yake na anasahau wenye amelipia pia yeye ni watoto wake 🤣🤣

4.Mwanamke ni binadamu mwenye mume anamkopa 2k halafu mwisho wa mwezi mume anampea 5k lkn vile hakusema nimelipa deni then mume atadaiwa Kila siku 🤣🤣🤣

5.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe akihitaji tendo la ndoa anampea ratiba na sababu nyingi mara nimechoka mara sijiskii vizuri mwishowe anasema yeye sio chagudoa afanywe Kila siku akitaka aende atafute changudoa ndipo mume akienda anaanza kulia na kusema umekosa Nini kwangu ni kipi sijakufanyia anasahau alikua anamnyima 🤣🤣

6.Mwanamke ni binadamu mwenye mumewe amekua akimhudumia wakati Ako kazini na KAZI ikikatika anaanza kulalamika na kuambia mumewe amekua akimtesa anasahau mume Hana uwezo kwa sai 🤣🤣

7.mwanamke ni binadamu mwenye hataki mavyaa na ndugu za mume waishi kwake but ndugu zake na mama yake anawaita waishi na wao 😅😅😅

Mwanamke ni kiumbe ajabu sana
We ni +254
 
Back
Top Bottom