Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Saa 5 usiku na bado ukaondoka naye na kufanya naye mapenzi tena bila kinga?TACAIDS wana kazi kubwa ya kutoa elimu kwa wananchi.
 
Saa 5 usiku na bado ukaondoka naye na kufanya naye mapenzi tena bila kinga?TACAIDS wana kazi kubwa ya kutoa elimu kwa wananchi.
mkuu mbona nipo salama na mtoto nishampata
 
Mkuu usikute alikua na tatizo la uzazi na pengine hayo ni masharti ya mganga...ata kumkuta pale ulipomkuta ni plani ilopangwa na ikapangika...ila damu nzito kuliko maji,utampata tu...
 
Pumzika kwa amani mkuu
 
Anajifanya eti alimkuta kajiinamia kwi kwi mtu kajiinamia usiku unapata ujasiri wa kumfata na kumpeleka nyumbani
huyu jamaa ni purchaser na alienda ku purchase
Haya yote ni maisha..
Siku moja yatapita...

Sijui kwanini nimekumbuka hayo mashairi..

R.I.P man
 
Inaonyesha kama hadithi za chei chei shangazi....
Dunia ya leo unaweza "okota" mtu husiyemjua usiku na kumpeleka nyumbani just like that ?.... na bado ulale na mimba juu, LKN bado ukakaa tu bila kupekenyua anakaa wapi, jina na mengine..

Hivi mtoto akizaliwa si ana process cheti, jina la baba na mama addresses ect. Wewe sijui ndo ukumbikumbi hukakaa tuu ??
Sorry but I don't buy this !!


Then bila hata kufanya upekenyuzi, a, b, cs
 

Nadhani alishampataga huyo mtoto

Na huyu jamaa amefariki juzi kwa matatizo ya kifua. Kaacha watoto wawili Christina(nadhan ndo wa sheila) na mwingine wa kiume

Upumzike mahali ulipojiandalia mkuu
 
Nadhani alishampataga huyo mtoto

Na huyu jamaa amefariki juzi kwa matatizo ya kifua. Kaacha watoto wawili Christina(nadhan ndo wa sheila) na mwingine wa kiume

Upumzike mahali ulipojiandalia mkuu

Duh mkuu, sikuwa nimejua.
I withraw my comments, na naomba msamaha.

RIP bro..
 
Rip
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…