Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kuwa imetokea unatakiwa uwe namna ya kuitafuta furahaNafsi Itanisuta na Sitakuwa na Furaha
Nafsi Itanisuta na Sitakuwa na Furaha
Hii chai kavu aisee hata hainogi. Impossible mission
Unachaganya mambo sasa Mimi uwezo wangu umeishia hapa wako uelewa mkubwa mbona hukujitatulia tatizo ukaja jf mwenye uelewa mpana.Mungu Ndiyo Anajua Hiki Nilichokiandika Ukweli Wake... Lakini Natatizika Kuamini Eti Na Ww Ni Great Thinkerz... Mmezoea Kupuuza Post Za Watu Hata Kama Ni Za Kweli lakini Siwezi Kukulaumu Kwa Kuwa Hapa Ndipo Uwezo Wako Wa Kufikiri Ulipoishia
Unachaganya mambo sasa Mimi uwezo wangu umeishia hapa wako uelewa mkubwa mbona hukujitatulia tatizo ukaja jf mwenye uelewa mpana.
Mkuu haya mambo yanatokea, mimi nilishawahi kufanya kitu kama hicho, ilikuwa mwaka 1994, niliwahi kukutana na Dada mmoja barabarani usiku wa manane peke yake nikamchukua mpaka home, nikalalanaye, kwa kweli sikuwahi kumuona tena. Hii inatokeaga.Ila kuna watu wana courage, wewe unamkuta tu mtu sehemu usiku kama huo; Humjui, hakujui, unamkokota mpaka home halafu unafanza nae mambo. Kweli watu tunatofautiana!.
Njoo Tujaribu Ili Tuone
Naam ....Madee ft P Funky!