Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Anajifanya eti alimkuta kajiinamia kwi kwi mtu kajiinamia usiku unapata ujasiri wa kumfata na kumpeleka nyumbani
huyu jamaa ni purchaser na alienda ku purchase

Hakika ungejua Nadhani Usingeenda Huko Mkuu..... Huo Ndiyo Ukweli kuwa Nilimkuta Posta Mpya na Nilimsogelea Kwa Kuwa Kwanza Nilijua Ni Binti Ambaye Anatoka au Anakwenda Bilicanas Lakini Nilipomsogelea Ndipo Nikajua Kuwa Hakuwa kama nilivyomfikiria
 
Mwamini Mungu kwani ukiwa mwaminifu kwake, atarudi mwenyewe na utamwona mtoto wako.
 
Hakika ungejua Nadhani Usingeenda Huko Mkuu..... Huo Ndiyo Ukweli kuwa Nilimkuta Posta Mpya na Nilimsogelea Kwa Kuwa Kwanza Nilijua Ni Binti Ambaye Anatoka au Anakwenda Bilicanas Lakini Nilipomsogelea Ndipo Nikajua Kuwa Hakuwa kama nilivyomfikiria
Pole kwa kupotelewa na mtoto usihofu sana utampata
ila pia pitia tena posta ukatafute tena ha ha ha
 
Duh!
Umeweza kuisoma???
Punctuation!!

Hahahaha nimeisoma via mobile version. Hivi sasa nimeicheki kwa PC hakyamama hata mi nashangaa niliwezaje kuisoma.

dah...
 
Duuh tamaa mbaya sn hiz, zimekuponza!! we umeokota tu mtu huko hujui story yake wala nn, wew tyr umeshawaza ngono juu yake!! aah sis hp hatuna cha kukusaidia labda nenda Bango TBC1 utoe taarifa hizo, labda unaweza kufanikiwa kumpata. Tofaut na hapo nenda kwa Mungu umlilie akuhurumie, akusamehee na akufanyie wepes kweny hilo basiiii. Hakuna lingine!!
 
Duuuuh pole. Ila nionavyo mimi huyo binti alikua anajua nini anakifanya yan ni mpango alishaupanga... Kwanza alijua akikaa hapo posta kiuluma lazima atajitokeza mtu mkware wa kumsemesha ndio ukatokea wewe.
Pili ilikua lazima ajionyeshe ni mgumu ili uone umepata binti makini
Tatu na ule ugumu aliokuonyesha ndio ilikupelekea wewe ukampeleka kwako.
Kwa maneno mengine mission yake imekamilika.
Sasa jatibu kutafuta particulars zake ziweke humu jf. Kuna watu watakua wanamjua. So kama ni binadamu atafahamika tuuu.
Nikuulize... ulipomkuta na ulipoenda nae home kwako. Hajawai kurudi kwake? Na hakua na nguo za ziada? I mean begi?
 
Japo pia nina waswas kuwa yawezekana uliokota jini, fikiria vzur mazngira uliomkuta ucku wa saa tano, mtoto mzuri yupo tu, unamuuliza shda yake nn anabaki kukubetulia midomo tu. na ukaenda nae kwako kiurahic bila ht kubembeleza sn, je alitoka wap muda huo hadi kukaa hapo posta? we mwenyew hujui. Cha kushangaza mpk unazaa nae bado hujui lolote kuhusu yeye, yur not serious ure joking..
 
Alinitambulisha Kwa Mama Mmoja Anafanya Kazi Pale Ardhi Lakini Nilipomfuata Baada Ya Kutokea Hili Tatizo Nikaambiwa Kaenda Nje Ya Nchi Kimasomo Kwahiyo Nilikwama

mmh ukiona mtu anakusimlia tatizo halaf kila mbadala unaomwambia anauzima fasta kama we "ulivomsafirisha" huyo mama kwenda nje ya nchi ghafla ni dalili hapa tunachezea "mkono" wa shigongo aisee!!
 
huyu alizaa na jini aafu anaulizia mtoto.
we mtu umekutana naye tu posta unambeba mpaka kwako na kwenda kumtia siku hiyo hiyo!!
khaaa!!
 
Back
Top Bottom