Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Sikupajua Kwao Ndiyo Lakini Kuna Mama Alinikutanisha naye na Hata Kipindi Cha Ujauzito Mpaka Kujifungua alikua anakuja Mpaka nyumbani lakini nilipokwenda Kazini kwake Baada Ya Kutokea Haya Matatizo Niliambiwa Ameenda Masomoni na Tokea Niambiwe Hivyo Huyo Mama Bado Hajarudi

Na ulishawahi mdadisi hata ujue huko kwao ni wapi?
 
Sikupajua Kwao Ndiyo Lakini Kuna Mama Alinikutanisha naye na Hata Kipindi Cha Ujauzito Mpaka Kujifungua alikua anakuja Mpaka nyumbani lakini nilipokwenda Kazini kwake Baada Ya Kutokea Haya Matatizo Niliambiwa Ameenda Masomoni na Tokea Niambiwe Hivyo Huyo Mama Bado Hajarudi
Hata kama hajarudi hana marafiki? uliza mawasiliano yake.
 
sio nakutisha kaka, hebu cheki kwanza tu madhingira uliyoishi nae. Hivi uliwezaje kuishi nae kipindi hicho chote bila kujua hata chimbuko lake?. Hivyo wakati unajiuliza swali hilo hapo ndipo utakopo kubali ukweli kwamba. Huyo ni jini ambae alitumia uwezo wake kukufanya usahau kuhoji jambo la msingi kama hilo.

kweli kabisa hilo ni jini tena limeondoka na kizazi chako huzai tena wewe
 
Alinambia Anaishi Mbezi beach Maeneo Ya Africana Lakini Sikuwahi kwenda

Pole ndugu ila ndio iwe fundisho kwako na wengine, utabebaje mzigo na kuupeleka nyumbani pasipo kumjua undani wake? Wengine walishakumbwa na mkenge wa kuchukua majambazi, ni hatari mno.
 
Yani unaishi na mtu ambaye hadi mnazaa huwajui ndugu zake wala hata kuwasiliana nao kwenye simu? Hivi siku angekufia humo ndani ungefanyaje?
 
Pole mkuu. Weka wazi unapewa majibu gani hapo Ardhi kwa huyo mama aloenda masomoni?
 
Pole mkuu. Weka wazi unapewa majibu gani hapo Ardhi kwa huyo mama aloenda masomoni?

kuna Baadhi Wananiambia Kuwa Mama Kaondolewa Pale Wizara Yupo Mwanza Kwenye Wizara Hiyo hiyo Lakini Tatizo ninapohitaji Mawasiliano Ndipo Ninapopewa Majibu Yasioridhisha Mkuu Ndiyo Maana nahisi Nimechezewa Mchezo
 
Yani unaishi na mtu ambaye hadi mnazaa huwajui ndugu zake wala hata kuwasiliana nao kwenye simu? Hivi siku angekufia humo ndani ungefanyaje?

Nilikutanishwa na Mama Mmoja Akadai Huyo ndio Anapajua kwao na Angewaambia Binti Yao Anapoishi
 
kuna Baadhi Wananiambia Kuwa Mama Kaondolewa Pale Wizara Yupo Mwanza Kwenye Wizara Hiyo hiyo Lakini Tatizo ninapohitaji Mawasiliano Ndipo Ninapopewa Majibu Yasioridhisha Mkuu Ndiyo Maana nahisi Nimechezewa Mchezo

Pole sana mkuu. Naamini Mungu atakufanyia wepesi katika hili. Uwe na subira
 
Panya anaingia tunda lolote tu ilimradi tunda usiniulize kwanini....make hata mi sijui
Hahahah basi gelofriend sikuulizi hata. Ila huku kurahisisha mambo kunacost sana, hapa angekuwa hata anawajua baadhi ya ndugu isingekuwa kazi sana kujua habari zake. Lakini yeye anamjua tu ndugu mmoja (nahisi ni undugu wa super glue) na walikutana naye tu ofisini. Mmh ndo haya yanamkuta now, usikute hata majina ya huyo binti alidanganywa
 
Hahahah basi gelofriend sikuulizi hata. Ila huku kurahisisha mambo kunacost sana, hapa angekuwa hata anawajua baadhi ya ndugu isingekuwa kazi sana kujua habari zake. Lakini yeye anamjua tu ndugu mmoja (nahisi ni undugu wa super glue) na walikutana naye tu ofisini. Mmh ndo haya yanamkuta now, usikute hata majina ya huyo binti alidanganywa
Anajifanya eti alimkuta kajiinamia kwi kwi mtu kajiinamia usiku unapata ujasiri wa kumfata na kumpeleka nyumbani
huyu jamaa ni purchaser na alienda ku purchase
 
Back
Top Bottom