Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

Ila kuna watu wana courage, wewe unamkuta tu mtu sehemu usiku kama huo; Humjui, hakujui, unamkokota mpaka home halafu unafanza nae mambo. Kweli watu tunatofautiana!.

Mkuu Kwa Binti Alivyo Hata Ungekuwa Ww Ungeongea Kwa Kikubwa
 
Nenda hospital kapime uzazi kama unao yawezekana ulipomkuta alikuwa anawaza atapata wapi msaada wa kulelewa mimba yake
 
mmmh kutokana na majibu yako inaonyesha hii ni kazi ya shigongo mkuu
 
Kwanza kabisa pole mtu wangu ,jikaze ndo kuwa mwanaume ujue utakumbana na mengi hivyo ujiandae kuyakabili.Kwani tangia achoropoke ni muda gani umepita hadi umeanza zoezi la kuza mtoto mwingine.

mwaka mmoja na miezi nane
 
kwa ulivyosimulia ni kama miujiza fulan ambayo in ngumu kuamini! swala la kuwa na uhusiano na MTU mpaka mimba na kuzaa usijue hata atokako!?.mmh ilo kweli ni jini lilikuchanganya! ongea na mungu ndo suluhisho.
 
Move on, utapoyeza miaka mingi bila kutafta mwingine, huyu akikua atakutafta na utamsimulia na utampa ushahidi kuwa uliposti jamii forum machungu yako
 
mmmh kutokana na majibu yako inaonyesha hii ni kazi ya shigongo mkuu

Mungu ni Shahidi Wa Hiki Nilichoandika na Hata Ukitaka Nile Kiapo Nitafanya.. Nitunge Stori Ili Inisaidie nini? Picha Nilikujibu na Kuhusu Mtoto Picha Zipo Nyingi tu labda Unambie ww nikujibu Vipi mkuu?
 
Uanaume kazi duh...kama panya vile ilimradi tu kitundu huyooo umeingia
hujui hata kwao?
 
Move on, utapoyeza miaka mingi bila kutafta mwingine, huyu akikua atakutafta na utamsimulia na utampa ushahidi kuwa uliposti jamii forum machungu yako

Ahsante Mkuu lakini nimehangaika sana, Nilikuwa Nishinda Posta na wakati mwingine Mbezi Africana Lakini Hata Siku Moja Sikufanikiwa
 
Uanaume kazi duh...kama panya vile ilimradi tu kitundu huyooo umeingia
hujui hata kwao?

Mkuu Alinikutanisha tu na mama mmoja Hivi Na Akanambia Huyo ndiyo anapajua Kwao na chochote Kitachompata Basi nimuone Huyo Mama
 
kwa ulivyosimulia ni kama miujiza fulan ambayo in ngumu kuamini! swala la kuwa na uhusiano na MTU mpaka mimba na kuzaa usijue hata atokako!?.mmh ilo kweli ni jini lilikuchanganya! ongea na mungu ndo suluhisho.

Mkuu Nilihoji Lakini Nikakutanishwa na Mama Mmoja nikaambiwa Kila Kitakachotokea basi Nimuone Huyo
 
Ndugu pole kwa yaliyokukuta, ila ninaungana wa wadau wengine waliotangulia inawezekana kabisa huyo binti alikuwa sio binadam wa kawaida, yani uishi na mtu hadi kupata ujauzito na kuzaa bila hata kufahamu atokako? Mhhh hapa pana utata
 
Ndugu pole kwa yaliyokukuta, ila ninaungana wa wadau wengine waliotangulia inawezekana kabisa huyo binti alikuwa sio binadam wa kawaida, yani uishi na mtu hadi kupata ujauzito na kuzaa bila hata kufahamu atokako? Mhhh hapa pana utata

Sikupajua Kwao Ndiyo Lakini Kuna Mama Alinikutanisha naye na Hata Kipindi Cha Ujauzito Mpaka Kujifungua alikua anakuja Mpaka nyumbani lakini nilipokwenda Kazini kwake Baada Ya Kutokea Haya Matatizo Niliambiwa Ameenda Masomoni na Tokea Niambiwe Hivyo Huyo Mama Bado Hajarudi
 
Back
Top Bottom