poa,kilala kheriNaona Umenifumbua Mkuu Hii Kazi Nitaianza Kesho na Jibu Ntakalopewa nitakupm Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa,kilala kheriNaona Umenifumbua Mkuu Hii Kazi Nitaianza Kesho na Jibu Ntakalopewa nitakupm Mkuu
hayo maneno alikwambia kweli?..Akanambia Alichokuwa Anakitaka Ameshakipata Hivyo Nisimjue na Nisimfuatilie Tena.
Haya yote ni maisha...
Ipo siku yatakwisha...
Leo mja nahangaika...
Mambo yamebadilika...
Ila kuna watu wana courage, wewe unamkuta tu mtu sehemu usiku kama huo; Humjui, hakujui, unamkokota mpaka home halafu unafanza nae mambo. Kweli watu tunatofautiana!.Umejuaje kama binti alikuzalia wewe? Kama alikuwa anatafuta mtoto inawezekana haukuwa peke yako...
Stuka!!!
Walah kuna binadamu ni majasir balaa! ! Umekutana na bint hujui kwao hujui ndugu zake unaenda ishi naye. ..akipatwa na janga ungesema nini?
Kwanza kabisa pole mtu wangu ,jikaze ndo kuwa mwanaume ujue utakumbana na mengi hivyo ujiandae kuyakabili.Kwani tangia achoropoke ni muda gani umepita hadi umeanza zoezi la kuza mtoto mwingine.Mkuu Kinachoniuma Nimejaribu Sana Kutafuta Mtoto lakini Bado Sijafanikiwa