Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Sahii kabisa,
Ukimwi hauui, kinachoua zaidi ni hofu.

Wale wanaopima Pima hovyo, IPO siku watakipata wanachokitafuta.

Binafs napima ila kwa sababu maalum, sio ovyo ovyo eti kila miez 3.

Ujinga ule.
Kuna mtu ashawahi kushusha nondo kuhusu ugonjwa huu, kikubwa haupo. Mimi sio mtalaamu wa mambo haya ila tafuta thread inayosema inawezakana mtu akalala na mwenye ukimwi na asiupate? Au tafuta uzi unaosema mambo 10 ya usiyoyajua khs UKIMWI.

Ukisoma hizo thread utakuja kuona mabadiliko.
 
Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!

Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......


Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??


Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...


All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU
Au huenda hataki tu mazoea na wewe tena na anakujua vizuri ni mwoga?.
 
Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!

Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......


Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??


Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...


All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU
Denda,deki?
 
Kuna mtu ashawahi kushusha nondo kuhusu ugonjwa huu, kikubwa haupo. Mimi sio mtalaamu wa mambo haya ila tafuta thread inayosema inawezakana mtu akalala na mwenye ukimwi na asiupate? Au tafuta uzi unaosema mambo 10 ya usiyoyajua khs UKIMWI.

Ukisoma hizo thread utakuja kuona mabadiliko.
Yule jamaa alisema apewe damu ya hiv anywe.anaitwa deception
 
Unisex vipi na mtu bila kujuana afya
Hata kama unamjua MTU haigurantee kuwa yuko safe ndo maana nilivaa kinga ( CONDOM) Mara 4 zote niliopokula mbususu take...... Tatizo nimekuwa MUOGA baada ya Taarifa kuwa amewaka!



U heard?
 
Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita.....

Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita

Demu kapima Leo kaambiwa anao......

Mazee hofu niliyokuwa nayo nikama nilipiga peku, hata msosi sili kwa raha!!!

Wenge baya sanaaa
Pole sana Mkuu.Ndio hivyo chai inaunguza.Tuombe MUNGU tuache tabia mbaya za uzinifu.
 
Ndio maana wengine hatutaki K mnato na dry, wet pussies hazikupi ngoma hata uoige bao kumi, unless una mavidonda yako toka mwanzo.
 
Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!

Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......


Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??


Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...


All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU
Mkuu ulivaa ndom ili iweje? Kuzuia mimba?
 
Mkiambiwa msipashe moto viporo mnajifanya hawara haachi....haya sasa!!!!

Ila ukimwi sio mwisho wa dunia!!!
 
Back
Top Bottom