Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Mwanamke niliyeshiriki naye ngono kakutwa na VVU, nina hofu japo tulitumia kinga

Inawezekana ulikuwa ukiambiwa zinaa ni dhambi ukawa mbishi, ila sasa ukiambiwa ni dhambi utakuwa unajibu kwa aibu flani hivi,ndioo...
 
Nikupe tu hongera kwa kutumia kinga
Hayo mengine pambana nayo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapa katikati akiugua tu hata maleria basi atajua kama hajui.
Asiombe wenge musica ikakutana na wenge BCBG
 
Hehehehehe hapo bado kukosa usingizi, hapo bado kukonda na mabega kupanda juu. Yaani utapata dalili zote za HIV mpaka utakapojitoa kimasomaso na kuamua kupima.

Nenda kapime kwa ajili ya huko nyuma, ila kuhusu hii uliyotumia kinga hauwezi kupata kama uliivaa vizuri na haikupasuka. Kwanza hata kama ilipasuka sio lazima upate HIV.
Fundi kama fundi
 
Kuna mtu ashawahi kushusha nondo kuhusu ugonjwa huu, kikubwa haupo. Mimi sio mtalaamu wa mambo haya ila tafuta thread inayosema inawezakana mtu akalala na mwenye ukimwi na asiupate? Au tafuta uzi unaosema mambo 10 ya usiyoyajua khs UKIMWI.

Ukisoma hizo thread utakuja kuona mabadiliko.
Unataka kusema huu ugonjwa Ni hoax Kama ilivokua Corona[emoji848]
 
Ndio maana wengine hatutaki K mnato na dry, wet pussies hazikupi ngoma hata uoige bao kumi, unless una mavidonda yako toka mwanzo.
Chama cha majimaji tuko salama Sana [emoji4]
 
Back
Top Bottom