Kuna mtu ashawahi kushusha nondo kuhusu ugonjwa huu, kikubwa haupo. Mimi sio mtalaamu wa mambo haya ila tafuta thread inayosema inawezakana mtu akalala na mwenye ukimwi na asiupate? Au tafuta uzi unaosema mambo 10 ya usiyoyajua khs UKIMWI.Sahii kabisa,
Ukimwi hauui, kinachoua zaidi ni hofu.
Wale wanaopima Pima hovyo, IPO siku watakipata wanachokitafuta.
Binafs napima ila kwa sababu maalum, sio ovyo ovyo eti kila miez 3.
Ujinga ule.
Au huenda hataki tu mazoea na wewe tena na anakujua vizuri ni mwoga?.Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!
Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......
Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??
Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...
All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU
Denda,deki?Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!
Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......
Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??
Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...
All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU
Yule jamaa alisema apewe damu ya hiv anywe.anaitwa deceptionKuna mtu ashawahi kushusha nondo kuhusu ugonjwa huu, kikubwa haupo. Mimi sio mtalaamu wa mambo haya ila tafuta thread inayosema inawezakana mtu akalala na mwenye ukimwi na asiupate? Au tafuta uzi unaosema mambo 10 ya usiyoyajua khs UKIMWI.
Ukisoma hizo thread utakuja kuona mabadiliko.
Anywe au achomwe? Na ni case hiyoYule jamaa alisema apewe damu ya hiv anywe.anaitwa deception
Pole sana Mkuu.Ndio hivyo chai inaunguza.Tuombe MUNGU tuache tabia mbaya za uzinifu.Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita.....
Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena kukumbushia na nikampiga Mara 4 na kondomu bao 1 kila tendo ktk wiki 3 zilizopita
Demu kapima Leo kaambiwa anao......
Mazee hofu niliyokuwa nayo nikama nilipiga peku, hata msosi sili kwa raha!!!
Wenge baya sanaaa
Wew tumefananaHongera mkuu kwa kutumia kinga wengine wanasemaga zinawasha, sasa kipi bora kuwashwa au ngoma.
Aisee mi demu hata tupime sichezi peku, I don't take any chances.
Kwamba sperm zako ni gold auHongera mkuu kwa kutumia kinga wengine wanasemaga zinawasha, sasa kipi bora kuwashwa au ngoma.
Aisee mi demu hata tupime sichezi peku, I don't take any chances.
Mkuu ulivaa ndom ili iweje? Kuzuia mimba?Huyu Chick nadhani alikuwa nao tangu kitambo ila hakutaka kusema..... Juzi nilipokuwa namkula anasema tumbo linamuuma ikabidi Nipige bao then nimwambie kesho aende hospital!
Next day akaenda ndo analeta hizo story kuwa Ana Ngoma.......
Wenge linakuja je kanipa?? Lakini si nilivaa kinga?? Vipi kama ningepiga peku?? Au ndom kuchanika??
Maswali haya ndo yapo kichwani yananipa stress...
All in all NASHKURU HATA YEYE ALIKUWA HATAKI NIPIGE PEKU