Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Pole sana mkuu.

#Nguvuyaushahidininoma
 
Piga chini huyo Malaya Mara Moja na utafute pisi nyingine.
 
Wewe unashida kichwani, utabadilisha tabia ya Malaya?
 

Piga moyo konde kiume,,, achana nae tayari hamna mtu hapo
 
Tuwekee picha tumuone 😎😎
 
Wewe unashida kichwani, utabadilisha tabia ya Malaya?
The issue is anauhakika atapata asie malaya?

let us give ourselves chances to delete the dark past....

Kilamtu anadark past yake....
We move on na ndio maana tunaona wengi wanadumu sana...it's not coincidence
 
Ameruka mkojo kakanyaga mavi
girls zetu wanashits kibao smart to men's...

ni heri huyo aliekuwa anamjaki hata kwa kumpa hela akikwama...huko anakoenda hana guarantee kama kutakuwa na afadhar au vipi.
 
true love waits....labda sio right time sahizi lakini je nje ya hizo picha anamazuri mangapi....

Girls wanashits sana, no guarantee to find love after that.
 
Nimemwambia aniache kwanza kwakuwa anarudi jumanne ntampa majibu yake kama tutaendelea au la.

Nawasilisha
Kukumsela
 
Kamshauri kaka yako wa damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…