Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Ushaona mtego wa nyani upewe ushauri gani sasa, Malaya afugiki.
Ingia at your own risk.
 
KILA mwanamke ni malaya kwa wakati wake sema tu ngumu kuyajua ya nyuma ya pazia. Tabia ya mtu haibadiliki
 
Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.

Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu

Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.

Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.

Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.

Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.

Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.

Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.

Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.

Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.

Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.

Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.

Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.

Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..

Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.

Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.

Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?

Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.

Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..

Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?

Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?

Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?

Nishaurini tafadhali.

Natanguliza shukrani 🙏🙏

Mrejesho wa maongezi nae upo page 4
😂😂😂 mkuu naona haupendi kuambiwa ukweli , sasa kama anauza unadhani mdau anakuja na 50k (tena kwa sababu ni wa telegram waday huwa wanawanunulia tu pombe na chakula halafu anapewa 30k au chini ya hapo ) anahitaji kupelekwa buza huyo unayetaka kumuoa ataacha 50k kweli na wakati ni kazi yake?

Nionavyo wewe haupo tayari kumuacha na moja ya maswali uliyomuuliza nadhani ni pamoja kama ashawahi kwenda buza na akakuambia hajawahi yeye huwa anaishia kwa rama kibonge tu na ulivyo mzembe ukaamini 😂😂.

Ila sio mbaya maana mmekutana wote mnunuzi na mnunuliwa sasa mnunuzi umecatch feelings unaanza kulia lia .
 
Mapenzi ni kitu kinachoumiza sana.

Wengi watakupa ushauri humu wa kumuacha, Mimi nipo tofauti

Usimwambie ongeza upendo, make your plans clear to her, mpende.

if she is destined kutulia atatulia
Hauwezi jua kwingine utakako dondokea kupo vipi.

Pole mkuu, just be normal kama unampenda sana mpambanie na umbadilishe..

watu wanadumu kutokana na uvumilivu mwingi
Ushauri wa kipuuzi kabisa, amvumilie malaya!!??
 
Una hangaika nini mkuu tangazo kasha weka kwa uhakiki kua mteja wake ujionee
 
Mapenzi ni kitu kinachoumiza sana.

Wengi watakupa ushauri humu wa kumuacha, Mimi nipo tofauti

Usimwambie ongeza upendo, make your plans clear to her, mpende.

if she is destined kutulia atatulia
Hauwezi jua kwingine utakako dondokea kupo vipi.

Pole mkuu, just be normal kama unampenda sana mpambanie na umbadilishe..

watu wanadumu kutokana na uvumilivu mwingi
You cant even change yourself. What makes you think you can change someone else?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mpaka kajiunga na magroup aisee Kazidi kipimo cha Umalaya mwanamke kuolewaa japo Wote wanauzaa mkuu[emoji3] So mpotezee kimya kimya ilaa tunza kumbukumbu akikataa Kuachika unamchana live ilaa Nikikumbuka nilimega mke wa mtu kisa elfu 30 ya kikobaa ndo nguvu zinaniishiaa..!
 
Wakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive.

Nimeumizwa sana na suala hili kiukweli, pale nilipowekeza nikitegemea neema nakutana na maumivu.. msichana mzuri kiasi kile kaingia kwenye kasumba kama hii, sikia kwa mwenzako tu

kiufupi ilibidi nimtafute mwanadada kwa njia ya simu, tumeongea takribani masaa mawili na dakika 23, maongezi ambayo nimepata kujua upumbavu mwingi zaidi wa huyu mwanadada baada ya mazungumzo na maswali magumu niliyohoji

nimepata kujua rasmi kuwa mwanamke hata kwenye unafiki atamwaga machozi tu na ndio defensive mechanism Yao.. nimemwambia kuna upuuzi kumbe huwa unafanya, unajiuza mitandaoni halafu una-act unanipenda, eti analia nimemuita malaya namdhalilisha.. nimemwambia Dunia Haina siri, hakuna nisichojua zaidi tena.. eti anasema tatzo langu naamini maneno ya watu.. nimemwambia sio maneno, hadi ushahidi upo.. Bado anagoma tu na anaapia kabisa hajawahi kutumia telegram.. ikabidi nimtukane sasa maana hasira zilinipanda kuona unafiki ule ikabidi nimwambie mzigo huo angalia Whatsapp kwako, nikamtumia picha, aisee

Amepiga simu baada ya kuona picha zile, ni KULIA tu anaomba nimsamehe sana kwamba sio michezo yake amefanya tu kwa mara ya kwanza aone reaction kama watu watamsumbua [emoji35][emoji35][emoji35] ila hakudhamiria kutoka na yeyote ambae angemwendea direct..

hasira niliyopata angekuwa karibu Leo ndio ingekuwa mara yangu ya mwisho kuwa uraiani.. nimemuuliza maswali yote ambayo ni dukuduku zangu baada ya kukutana na upumbavu wake nikamwambia asinifiche kitu.. aisee ni Bora nisingeuliza tu.. Nimeconnect na dots baadhi ambazo zilijitokeza before ambapo baada ya kujibiwa zimenipa patterns kibao juu ya huyu mrembo niliemwamini kupindukia. Wazee wa KATAA NDOA huwa wapo sahihi tu. Nimemwambia aniache kwanza kwakuwa anarudi jumanne ntampa majibu yake kama tutaendelea au la.

Amepiga simu hadi Kero, nimeblock namba zake Kila Kona. Mdogo wake kapiga sjapokea, rafiki yake pia kapiga zaidi ya mara tano na sms juu ila nimepiga kimya maana namuona ni walewale, wanajua upumbavu unaoendelea halafu yanakomaa kuniita shemeji.. [emoji35][emoji35][emoji35]

Ngoja aje
Pole sana.
Shukuru Mungu umepata kuyafahamu hayo kabla hamjaifikia hatua kubwa mliyokuwa mmeipanga.
Jaribu kufikiria endapo mngeshaingia kwenye Ndoa kisha likajitokeza hili au jingine ambalo ni kubwa zaidi ya hili.

They say, Everything happens for a reason. Naaamini hata kutokea kwa hili kuna sababu.
Jipe muda wa kutafuta amani ya moyo wako kwanza, na kwa sasa suala la Ndoa iachie nature iamue, wala usifanye presha yeyote.
Pole sana sana kwa changamoto hii.
 
Wakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive.

Nimeumizwa sana na suala hili kiukweli, pale nilipowekeza nikitegemea neema nakutana na maumivu.. msichana mzuri kiasi kile kaingia kwenye kasumba kama hii, sikia kwa mwenzako tu

kiufupi ilibidi nimtafute mwanadada kwa njia ya simu, tumeongea takribani masaa mawili na dakika 23, maongezi ambayo nimepata kujua upumbavu mwingi zaidi wa huyu mwanadada baada ya mazungumzo na maswali magumu niliyohoji

nimepata kujua rasmi kuwa mwanamke hata kwenye unafiki atamwaga machozi tu na ndio defensive mechanism Yao.. nimemwambia kuna upuuzi kumbe huwa unafanya, unajiuza mitandaoni halafu una-act unanipenda, eti analia nimemuita malaya namdhalilisha.. nimemwambia Dunia Haina siri, hakuna nisichojua zaidi tena.. eti anasema tatzo langu naamini maneno ya watu.. nimemwambia sio maneno, hadi ushahidi upo.. Bado anagoma tu na anaapia kabisa hajawahi kutumia telegram.. ikabidi nimtukane sasa maana hasira zilinipanda kuona unafiki ule ikabidi nimwambie mzigo huo angalia Whatsapp kwako, nikamtumia picha, aisee

Amepiga simu baada ya kuona picha zile, ni KULIA tu anaomba nimsamehe sana kwamba sio michezo yake amefanya tu kwa mara ya kwanza aone reaction kama watu watamsumbua [emoji35][emoji35][emoji35] ila hakudhamiria kutoka na yeyote ambae angemwendea direct..

hasira niliyopata angekuwa karibu Leo ndio ingekuwa mara yangu ya mwisho kuwa uraiani.. nimemuuliza maswali yote ambayo ni dukuduku zangu baada ya kukutana na upumbavu wake nikamwambia asinifiche kitu.. aisee ni Bora nisingeuliza tu.. Nimeconnect na dots baadhi ambazo zilijitokeza before ambapo baada ya kujibiwa zimenipa patterns kibao juu ya huyu mrembo niliemwamini kupindukia. Wazee wa KATAA NDOA huwa wapo sahihi tu. Nimemwambia aniache kwanza kwakuwa anarudi jumanne ntampa majibu yake kama tutaendelea au la.

Amepiga simu hadi Kero, nimeblock namba zake Kila Kona. Mdogo wake kapiga sjapokea, rafiki yake pia kapiga zaidi ya mara tano na sms juu ila nimepiga kimya maana namuona ni walewale, wanajua upumbavu unaoendelea halafu yanakomaa kuniita shemeji.. [emoji35][emoji35][emoji35]

Ngoja aje
Mkuu je unaona ni vema kumhukumu wakati wewe pia hukua mwaminifu kwake na ulienda mle kutafuta malaya?
Je huu si unafiki mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada wanaume wengi wameoa Malaya bila kujua. Tatizo lako wewe umejua mapema
Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.

Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu

Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.

Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.

Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.

Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.

Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.

Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.

Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.

Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.

Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.

Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.

Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.

Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..

Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.

Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.

Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?

Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.

Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..

Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?

Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?

Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?

Nishaurini tafadhali.

Natanguliza shukrani 🙏🙏

Mrejesho wa maongezi nae upo page 4
 
Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.

Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu

Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.

Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.

Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.

Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.

Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.

Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.

Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.

Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.

Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.

Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.

Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.

Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..

Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.

Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.

Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?

Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.

Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..

Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?

Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?

Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?

Nishaurini tafadhali.

Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]

Mrejesho wa maongezi nae upo page 4
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Make kwanza ncheke

Binadmu ni wabishi sana. Kuna uzi ulikuwepo humu unasema kila mwanamke ni malaya hata mkeo usimwamini %100. Ila kuna binadamu walikua wakipinga sana wakionesha kuwaamini wapenzi wao. Dunia ya leo sio mwanaume wala mwanamke hakuna kuaminiana kihivyo.

Uzuri umemaliza mwenyewe kuwa ukimuuliza nae atakuuloza wewe telegram ulifuata nini[emoji1787]

In short, Mungu hakutanishi malaika na shetani. Mmekutana wote wa telegram. Kubali umekosa nae amekosa. Kuanzia hapo fanya maamuzi.

Kabla ya kukurupuka pia jua kuwa 50% ya malaya wa telegram hawapost picha zao. Huchukua mitandaoni. Hio ndio sababu kubwa ya watu wanao jiheshimu kama mimi huwa hatuposti picha yoyote mtandaoni. Shida inakuja ni picha za kimalaya, ila kama aliwahi kupiga picha za hovyo na akazipost inawezekena zimetumika tu.

Ushauri: Mfuate telegram ukiwa na fake id. Jifanye mteja, mnunue na umsafirishe aje mkoa ulipo. Akifika akukute ni wewe. Mpange rafiki yako yeyote ajifanye kuwa yeye ndio alikusanua kuwa demu wako yupo telegram. Ndio ukajiunga na group na kumkuta kweli ni yeye. Yatakayofuata utajua mwenyewe.

Mwisho, hio ndio faida ya kumchunguza mchumba wako. Sasa umemjua na maamuzi ni yako
 
Naomba namba yake alichofanya sio sahihi
 
Back
Top Bottom