Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
- Thread starter
-
- #141
Nkuu sina kawaida ya kufanya hivyo Bali nilijiunga tu kutaka kujaribu kwa mara ya kwanza ndio mambo yakaenda mramaNawe ulifuata nini huko? Ndege wafananao...
Huyo sasa ndio mkeo, huoni ulipo yupo!!
AiseeHapo ukute watu wengi tu wanamjua kua ni muuzaji na hawakua na mpango wa kumuoa,wameshangaa sana wewe kutaka kumuoa,na ukute wanajisemea kua kuna mademu wana bahati,yaani pamoja na umalaya wote ule,mshamba mmoja kanogewa anaoa.
Yaani wanawake wazuri sijui Wana matatizo Gani tu..Usikutane naye. Maadamu umeshampa ukweli, hakuna sababu ya kukutana naye tena, unless uko tayari kumsamehe muendeleze libeneke otherwise epuka shari.
Utaua without intention na kuozea jela bure. Mature people wana ignore thought it hurts but it is the right thing to do.
Kama nafsi yako imeshakata kauli ya kutokuendelea naye, nakushauri usikutane naye kipindi hiki cha hasira. Ungetaka ungemsubiri arudi umface na ukweli mkiwa pamoja of which kuna possibility kwamba ungetenda kosa la jinai, hivyo hiki ulichokifanya cha kumpigia ndiyo imekuwa pona yako.
You are hurting, but you have a life to live. Don’t ruin your life because of some irresponsible idiot who has chosen to humiliate you emotionally.
If you love her, let her go.
Wote wakikamatwa na ushahidi hujitetea ni mara yao ya kwanza. Siyo tabia yao.Amepiga simu baada ya kuona picha zile, ni KULIA tu anaomba nimsamehe sana kwamba sio michezo yake amefanya tu kwa mara ya kwanza
Sijataka kukubaliana na utetezi wake kabisaWote wakikamatwa na ushahidi hujitetea ni mara yao ya kwanza. Siyo tabia yao.
Pole mwamba.
Hata wabaya wanafanya madudu kama hayo, ukipata mzuri mwingine usiogope kujaribu bahati yako.Yaani wanawake wazuri sijui Wana matatizo Gani tu..
Mkuu hapa nimepata fundisho.. nitaishi kwa tahadhari tangu sasaHata wabaya wanafanya madudu kama hayo, ukipata mzuri mwingine usiogope kujaribu bahati yako.
Nakushauri usiweke moyo wako wote kwa binadamu yeyote maana upo uwezekano atakusaliti, hivyo ikitokea hutaumia sana kwa vile ulijiandaa kisaikolojia.
Ungefanya bookingWakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.
Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu
Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.
Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.
Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.
Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.
Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.
Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.
Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.
Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.
Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.
Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.
Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.
Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..
Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.
Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.
Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?
Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.
Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..
Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?
Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?
Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?
Nishaurini tafadhali.
Natanguliza shukrani 🙏🙏
Mrejesho wa maongezi nae upo page 4
🤣😅😂 KATAA NDOA UISHI KWA AMANI NA MAISHA MAREFU MAZURI
Ata hasingeenda huko akajifanya mtakatifu bado angepigiwa tu. Bora ameenda amjua ataishi na mtu wa namna gani na yeye ajilinde vipi.Nawe ulifuata nini huko? Ndege wafananao...
Huyo sasa ndio mkeo, huoni ulipo yupo!!
Waliendelea na mahusiano?Hili lishamkutaga rafiki yangu alikua anademu anamuelewa vibaya mno kuna siku akaniomba group la malimbwende teregram nikampa katika kufatilia fatilia aliyoyafata akakautana na yule demu aliekua anamkubali anajiuza yani kuhakikisha tukachukua namba nyengine nikamvuta yule demu mpka maeneo alikuja na niyeye anakuja kushangaa anakutana namimi [emoji25][emoji25] na huyo demu alikuaga anamuachia mshikaji hela sio poa
Hata yeye itakuwa ndio anajaribu tu, au mtu anatumia pich azake. Hivyo kaeni myaongee tu muendelee na maisha.Nkuu sina kawaida ya kufanya hivyo Bali nilijiunga tu kutaka kujaribu kwa mara ya kwanza ndio mambo yakaenda mrama
Mimi naona hata ww una makosa,Kama ulikuwa unampenda kweli kwann ukienda kuangaika kwenye group za Malaya?,samehaneni muendelee na maisha maana wote mmeendana tabia.Aisee..😒😒