Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

Mapenzi ni kitu kinachoumiza sana.

Wengi watakupa ushauri humu wa kumuacha, Mimi nipo tofauti

Usimwambie ongeza upendo, make your plans clear to her, mpende.

if she is destined kutulia atatulia
Hauwezi jua kwingine utakako dondokea kupo vipi.

Pole mkuu, just be normal kama unampenda sana mpambanie na umbadilishe..

watu wanadumu kutokana na uvumilivu mwingi

Hii ni opinion ya MTU aliyeyajulia mapenzi ukubwani. Yaani MTU wa miaka 20+ ndio kayajua Mapenzi.
Ila walioyajua mapenzi wakiwa Sekondari below 20yrs huu ushauri hawataupokea hata Kwa RISASI
 
Wakuu, nimemuepuka yule mwanamke. Sasa kuna branch nimeanzisha🥰
 
Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.

Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu

Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.

Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.

Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.

Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.

Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.

Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.

Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.

Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.

Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.

Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.

Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.

Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..

Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.

Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.

Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?

Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.

Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..

Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?

Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?

Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?

Nishaurini tafadhali.

Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]

Mrejesho wa maongezi nae >
mrejesho wa maongezi nae baada ya kurudi upo page 11
Pole sana mzee kama nakuona vile ulikokua unaelekea

255755427876_status_b43cb883beef4501a5f140b3c82f9450.jpg
 
Mku
Wakuu habari za muda huu tena.. nashukuru kwa michango yenu, japo wapo watu wamedhihaki na wengine wamechangia positive.

Nimeumizwa sana na suala hili kiukweli, pale nilipowekeza nikitegemea neema nakutana na maumivu.. msichana mzuri kiasi kile kaingia kwenye kasumba kama hii, sikia kwa mwenzako tu

kiufupi ilibidi nimtafute mwanadada kwa njia ya simu, tumeongea takribani masaa mawili na dakika 23, maongezi ambayo nimepata kujua upumbavu mwingi zaidi wa huyu mwanadada baada ya mazungumzo na maswali magumu niliyohoji

nimepata kujua rasmi kuwa mwanamke hata kwenye unafiki atamwaga machozi tu na ndio defensive mechanism Yao.. nimemwambia kuna upuuzi kumbe huwa unafanya, unajiuza mitandaoni halafu una-act unanipenda, eti analia nimemuita malaya namdhalilisha.. nimemwambia Dunia Haina siri, hakuna nisichojua zaidi tena.. eti anasema tatzo langu naamini maneno ya watu.. nimemwambia sio maneno, hadi ushahidi upo.. Bado anagoma tu na anaapia kabisa hajawahi kutumia telegram.. ikabidi nimtukane sasa maana hasira zilinipanda kuona unafiki ule ikabidi nimwambie mzigo huo angalia Whatsapp kwako, nikamtumia picha, aisee

Amepiga simu baada ya kuona picha zile, ni KULIA tu anaomba nimsamehe sana kwamba sio michezo yake amefanya tu kwa mara ya kwanza aone reaction kama watu watamsumbua 😡😡😡 ila hakudhamiria kutoka na yeyote ambae angemwendea direct..

hasira niliyopata angekuwa karibu Leo ndio ingekuwa mara yangu ya mwisho kuwa uraiani.. nimemuuliza maswali yote ambayo ni dukuduku zangu baada ya kukutana na upumbavu wake nikamwambia asinifiche kitu.. aisee ni Bora nisingeuliza tu.. Nimeconnect na dots baadhi ambazo zilijitokeza before ambapo baada ya kujibiwa zimenipa patterns kibao juu ya huyu mrembo niliemwamini kupindukia. Wazee wa KATAA NDOA huwa wapo sahihi tu. Nimemwambia aniache kwanza kwakuwa anarudi jumanne ntampa majibu yake kama tutaendelea au la.

Amepiga simu hadi Kero, nimeblock namba zake Kila Kona. Mdogo wake kapiga sjapokea, rafiki yake pia kapiga zaidi ya mara tano na sms juu ila nimepiga kimya maana namuona ni walewale, wanajua upumbavu unaoendelea halafu yanakomaa kuniita shemeji.. 😡😡😡

Ngoja aje
Mkuu wakati unafanya nae tendo hujawahi kumgeuza na kucheki tundu yake ya nyuma kama marinda yapo au wahuni washasepa nayo?

Asilimia kubwa ya mademu wanaojiuza telegram wanatoa nyuma ni vile tu ukifika bei anakupa mzigo....hata kama aandiki kuwa anatoa nyuma ila ukimwendea inbox anakwambia huduma zote unapata ..na bei anakutajia. Sasa sijui huyo wako kama yupo salama.

Pia kuwa na shaka sana kama demu wako anakutajia kuwa ana safari za dodoma, mbeya, mwanza, zanzibar na Arusha hiyo ndio mikoa maarufu wanayozunguka kwenda kuuza nyuchi....vipi username yake anajiita nani?

Nilishawahi kufanya utafiti nikawaona wengi wakitumia mitandao ya kijamii kama facebook au insta jinsi wanavyokuwa ni tofauti sana na telegram!

Unakuta mama mtu mzima facebook anajifanya mtu wa Mungu na anaposri familia yake ila ukija telegram ni hatari anapost video kabisa analiwa ndogo ila facebook ni mtakatifu hakuna.

Maisha haya yamejaa unafiki sana
 
Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya.

Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu

Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa nayo na mwanamke niliyewahi kumpenda kupindukia katika maisha yangu na kudumu naye kwa takribani miaka mitano yakielekea ukingoni, niliamua kutengeneza branch kwa kuingia kwenye mahusiano na Binti mmoja mzuri sana Ili kutokubaki empty kipindi relationship na Binti wa kwanza iki-terminate.

Binti wa kwanza nilidhamiria kuwa naye ila baada ya kwenda kusoma kuna mambo yalibadilika sana kwake hivyo ikapelekea kupoteza Imani nae kabisa. Ilikuwa ni bidhaa sealed kipindi naichukua ila ndiyo hivyo tena.

Baada ya kuachana rasmi ilibidi niwekeze nguvu nyingi kwa huyu mwingine ambae hapo awali nilikuwa naye kama basi tu.

Baada ya muda nilijikuta nampenda kupindukia, ni mweupe sana, kimo Cha wastani, umbile zuri na sura yenye mvuto sana.

Kwa namna nilivyomfahamu, kwao maisha ni mazuri tu. Kuna kipindi ilikuwa kweli nakwama kiuchumi ila alinikwamua.

Tumeishi vyema na nimebahatika kukutana nae mara kadhaa na nimemfurahia.

Kiufupi nimetokea kuzama kwake mazima, sijaacha hata kandambili ili mambo yakiharibika waokoaji wajue kuna mtu kazama hapo waniokoe kupitia uwepo wa hizo kandambili.

Tulipofikia ni kuwa mwakani tufunge ndoa tu awe mke kwangu na ndivyo suala lilivyo na baadhi ya watu wangu na wake wa karibu wanalitambua hilo.

Sasa bwana, sijui imekuaje tu. Leo nikiwa katika kuperuzi peruzi kuna link ya group la Telegram niliiona sehemu nikaona isiwe case, nikajoin.

Kwenye magroup mara nyingi huwa natumia namba ambayo watu wangu wa karibu hawana Ili tusije tukakutana huko bahati mbaya kikaumana.

Group lenyewe ni la mademu kujiuza, angalau niopoe pisi ya kuibutua Jumapili ya leo mazingira ya karibu kama ningeipata.

Cha ajabu nimekutana na picha za mwanamke wangu ambae nategemea kufunga nae ndoa mwakani akiwa ameambatanisha na caption ya location alipo zimepostiwa Leo asubuhi..

Imetaja yupo Dar ambapo ndio alipo kwa sasa maana jumatano aliniaga anafuata mzigo wa biashara anayofanya. Picha zenyewe zipo kwenye mazingira ya kimalaya sana.

Mbaya zaidi sio moja, ingekuwa moja angalau ningeilazimisha akili ikatae kuwa si yeye, lakini zipo kama sita na mikao tofauti tofauti inayodhihirisha moja kwa moja ni yeye.

Jumapili yangu imevurugika ghafla sana, sijampigia simu sababu akili haipo sawa. Hata nikimpigia ntaanzaje kumwambia?

Hata nikimwambia, na Mimi nilikuwa natafuta nini huko? Aisee, yaani hata safari zake zote ninazifikiria ni kama alikuwa anaenda kuuza NYONDI tu kwa vijeba.

Kila nikifikiria mazingira yote naona kabisa hapa nimepigwa na square pipe kichwani..

Ina maana Ule ufundi wote alionao ni kwa ajili ya wateja wake?

Mbona sikujua muda wote Ule? Je tayari yupo kwa mteja?

Vipi zile pesa aliniokoa kipindi nipo vibaya kiuchumi?

Nishaurini tafadhali.

Natanguliza shukrani [emoji120][emoji120]

Mrejesho wa maongezi nae >
mrejesho wa maongezi nae baada ya kurudi upo page 11
Hapo usingekutana nae means ungenunua malaya mwingine. So relax brother, wewe ni mnunuzi nae ni muuzaji.
Kaeni chini jadilini,mkosoane na mkiri kuacha biashara hiyo na mrudieni Mungu.
 
Wewe mnunue na mkutane location.

Hapo ndio utapata cha kuanzia.

Lakini jiandae kujibu swali la "na wewe kwenye group la Malaya wanaojiuza unatafuta Nini", hapo case inakuwa closed huna Cha kumuhukumu ushajua anajiuza acahana nae...
Mwambie rafiki kamwona na kuniambia nije kujionea. Kumbe uongo
 
aisee nililia kwa uchungu sana baada ya kubaki mwenyewe, niliumia sana nikiwaza tulipotoka hadi hapo ilivyokuwa, Binti ni mzuri ila ndio mwisho tena..
Ila Tambua kule mnakoelekea ni mbali na hampajui ila viashiria umeshaonyeshwa. Indicator imewaka mwenzako anaenda uelekeo usio wako.

Uzuri wa mke, sio mke tu, bali mtu, ni tabia. Acha kuuziwa sura
 
Mku

Mkuu wakati unafanya nae tendo hujawahi kumgeuza na kucheki tundu yake ya nyuma kama marinda yapo au wahuni washasepa nayo?

Asilimia kubwa ya mademu wanaojiuza telegram wanatoa nyuma ni vile tu ukifika bei anakupa mzigo....hata kama aandiki kuwa anatoa nyuma ila ukimwendea inbox anakwambia huduma zote unapata ..na bei anakutajia. Sasa sijui huyo wako kama yupo salama.

Pia kuwa na shaka sana kama demu wako anakutajia kuwa ana safari za dodoma, mbeya, mwanza, zanzibar na Arusha hiyo ndio mikoa maarufu wanayozunguka kwenda kuuza nyuchi....vipi username yake anajiita nani?

Nilishawahi kufanya utafiti nikawaona wengi wakitumia mitandao ya kijamii kama facebook au insta jinsi wanavyokuwa ni tofauti sana na telegram!

Unakuta mama mtu mzima facebook anajifanya mtu wa Mungu na anaposri familia yake ila ukija telegram ni hatari anapost video kabisa analiwa ndogo ila facebook ni mtakatifu hakuna.

Maisha haya yamejaa unafiki sana
Mkuu hapa naomba nisipaelezee zaidi😂
 
Back
Top Bottom