Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Unatupa tabu kutoa ushauri bila picha.....
Ila oa mwenye wowowo
Ila oa mwenye wowowo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatupa tabu kutoa ushauri bila picha.....
Ila oa mwenye wowowo
Unaoa ili uwafurahishe watu, au unaoa mke atakaekuvumilia kwa kila hali?Habari, JF ni sehemu sahihi ya majibu sahihi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufanya maamuzi ya kupata mama watoto. Wapo mabinti wawili imekuwa ni mchuano mkubwa wa kupata selection.
Yupo mmoja yeye kila ninapomuonyesha mbele ya watu wangu wa karibu wanasema huyu ndio sahihi kuwa mke, kwangu mimi kwenye machaguo yangu kila nikiselect naona asiepewa nafasi ya kukubalika mbele za watu ndio anafit.
Hofu kubwa je huwenda macho yangu yamefunikwa na ukungu wa upendo mpaka kutokujua palipo sahihi ikanipelekea kukosea na kuharibu maisha yangu na kupata majutio makubwa.
Nimebaki njia panda...je, kwa maoni yako kwa maelezo yangu ni wapi palipokuwa sahihi?
Namalizia kwa kusema kosea kujenga ila usikosee kuoa..
Muoe anayekupendaNi kipi sahihi kwa mwanaume, kumuoa anaenipenda au kumuoa ninaempenda
Kumbe mtu mwenyewe ni mlevi. Haya olea watu tuone.Habari, JF ni sehemu sahihi ya majibu sahihi.
Nipo kwenye hatua za mwisho kufanya maamuzi ya kupata mama watoto. Wapo mabinti wawili imekuwa ni mchuano mkubwa wa kupata selection.
Yupo mmoja yeye kila ninapomuonyesha mbele ya watu wangu wa karibu wanasema huyu ndio sahihi kuwa mke, kwangu mimi kwenye machaguo yangu kila nikiselect naona asiepewa nafasi ya kukubalika mbele za watu ndio anafit.
Hofu kubwa je huwenda macho yangu yamefunikwa na ukungu wa upendo mpaka kutokujua palipo sahihi ikanipelekea kukosea na kuharibu maisha yangu na kupata majutio makubwa.
Nimebaki njia panda...je, kwa maoni yako kwa maelezo yangu ni wapi palipokuwa sahihi?
Namalizia kwa kusema kosea kujenga ila usikosee kuoa..
Unatupa tabu kutoa ushauri bila picha.....
Ila oa mwenye wowowo
Wewe dogo si uliandika unatafuta kazi? Naona na huu uzi unataka kupata mke.
Utamlisha nini au tayari umeshapata kazi.?
Kila la heri!