Huyo mwanamke mnafiki bora hata asingeomba msamaha ningejua ameomba msamaha...Kiukweli walishafika mbali sana, mwaka wa 2 wako pamoja huu! Na kwa mipango ni mingi tayari washafanya ya kujijenga ila ndio hivyo, mwanamke anaweza vunja uaminifu uliojengwa kwa miaka kwa sekunde chache tu na kukosa kufikiri sawa sawa, mwanamke alirudi jana jioni na kuomba msamaha kwa majuto sana kisha akamwambia jamaa kwamba anajua kamkosea pakubwa hastahili msamaha anaona hana nafasi tena kabisa, ikibidi amove on tu na maisha yake, hatoweza kushuhudia jinsi jamaa anavyokosa raha katika uhusiano wao. Jamaa hajamjibu lolote, kakausha tu! Ila nahisi atamfix pahala tu. Akili za wahuni tunazijua wahuni!
Huyo jamaa ni boya au kama sio basi atakua ni marioo.Huyo jamaa mwenyewe alitaka kudanganywa sababu kwani mgeni hawezi lala hapo sebleni au si angesubiri aje ndipo wajue namna ya kumlaza huyo mgeni au kama ndio jamaa kuondoka angeondoka.
Mwenyewe ndio sababu ya kufanyiwa hiyo mnayoiita akili sababu hajui kijiongeza. Pole kwake.
Hivyo kachukua maamuzi gani?
Ni ukosefu wa adabu mwanamke kushindana na mwanaume...!!hivi nyie wanawake wa siku hizi mkoje???Kwani wanaume hamfanyagi hivi vitu? Mbona nyie ndo vinara!
natamani ningefanya hivyo ila nimejikaza nisikwambie
nimeona nitalipuka moyoni
laba kama kweli unataka reason njoo pm nitakutumia hadi voice note
avatar yako nzuri
ona sasa nimesahau cha kuandika
Unanijaza eeh?...acha kuzingua nipe reason
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nawazoom tu.
mwanamke hatakiwi hata kuhisiwa anachepuka
Ni ukosefu wa adabu mwanamke kushindana na mwanaume...!!hivi nyie wanawake wa siku hizi mkoje???
miminimkulimaakachekasanaPole sana medrik
Ngoja nisubirie ukikata tena na mm ndo nipandeNope kata mti panda mti[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mh kumbe huwa unatishia MO 11 akiku...kumbe kweli...dahNaomba talaka.
Mh kumbe huwa unatishia MO 11 akiku...kumbe kweli...dah
sikutegemea utasema hiviNdio maana tunafanya kwa siri sana.
sikutegemea utasema hivi
kweli dahh