fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Hili ni jina la hovyo kabisa ambalo wanaume tumewapa wanawake,ni upuuzi na utovu wa heshima kwa wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.

Zigo RemixHili ni jina la hovyo kabisa ambalo wanaume tumewapa wanawake,ni upuuzi na utovu wa heshima kwa wanawake
Wanao tumia hili neno ni aina ya wanaume wavivu na wasio tambua nafasi zao kwa wapenzi waoHili ni jina la hovyo kabisa ambalo wanaume tumewapa wanawake,ni upuuzi na utovu wa heshima kwa wanawake
Umenikumbusha mlimbwende wangu aliekuaga kiwete...😋
Technicaly sio zigo ila kuna baadhi (si wote) wenye tabia ambazo zinawafanya waonekane zigoHili ni jina la hovyo kabisa ambalo wanaume tumewapa wanawake,ni upuuzi na utovu wa heshima kwa wanawake
Kwamba mimi ni pimbi😅Kuna pimbi atakuja kukwambia haiombwi hivyo
Kwamba mimi ni pimbi😅
Najuaga ila nilikua sijui kama hadi wewe unajua😅We ni pimbi kwani hujuagi? 😂😂
That's exactly how I feel about you my lovely Numbisa,Maua yote kwa mleta mada
Najuaga ila nilikua sijui kama hadi wewe unajua😅