min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Basi kama hadi wewe unajua , hakuna haja ya kujificha tena, upimbi uendelee asee😅😅Najua sasa hii dunia haina siri 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama hadi wewe unajua , hakuna haja ya kujificha tena, upimbi uendelee asee😅😅Najua sasa hii dunia haina siri 😂
😂😂😂Basi kama hadi wewe unajua , hakuna haja ya kujificha tena, upimbi uendelee asee😅😅
VidampaKuna wanawake zigo
- visu
- pisi
- pisikali
- vipotapo
- fimbo
- yatwaiba
- vibungo n.k
Why mwanamke anaitwa mzigo sababu asilimia kubwa ya wanawake ni liability akija kwenye maisha yako anakuja kama chombo na ili ukitumie you have to payHili ni jina la hovyo kabisa ambalo wanaume tumewapa wanawake,ni upuuzi na utovu wa heshima kwa wanawake
hapa ungewawekea na picha ili kila mmoja ajue kundi lake.Kuna wanawake zigo
- visu
- pisi
- pisikali
- vipotapo
- fimbo
- yatwaiba
- vibungo n.k
zigo maana yake nini,ni mwanamke wa namna gani?itakua hujawahi kukutana na zigo wewe![]()
ha ha pole mie nina wake 2,na kuhusu wanawake ni wengi tu nimekutana naoWe ushawahi hata kuwa na demu kweli?
ok ni tabia zipi hizo?Technicaly sio zigo ila kuna baadhi (si wote) wenye tabia ambazo zinawafanya waonekane zigo
haya ni maumbo sio?Kuna wanawake zigo
- visu
- pisi
- pisikali
- vipotapo
- fimbo
- yatwaiba
- vibungo n.k
Kutafutiana dhambi tu