Mwanamke ukimpa HELA, atataka MUDA wako. Ukimpa MUDA wako, atataka HELA. Tuishi nao kwa akili

Mwanamke ukimpa HELA, atataka MUDA wako. Ukimpa MUDA wako, atataka HELA. Tuishi nao kwa akili

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari za muda huu waungwana wa humu jamvini.

Katika ulimwengu wa soka na wapenda soka kumezuka habari mbaya kwa upande wa mwalimu wa soka safi lenye kuvutia anajulikana kama GUARDIOLA.

NDOA yake ya miaka 30 kama sijakosea imefikia tamati juzi Kati....huku kocha wa mpira akipoteza jumba lake la kifahari pale Uingireza na nusu ya kile alichokivuna kwa jasho lake kwenye maisha yake ya ukiacha.

Wakati aliyekuwa mke wa kocha akihitimisha NDOA yao alinukuliwa akisema ya kwamba bwana amekuwa bize mno na kazi kiasi kwamba muda wa kukaa na familia yake umekuwa mchache sana.

Mwanamke huyo ameshinda kuelewa kuwa kazi hiyo anayosema kuwa imekuwa ikimuweka bize mumewe ndio iliyomfanya yeye kupata nyumba ya kifahari hapo London na kuchukua nusu ya utajiri wa Kocha wa boli.

Kazi hiyo hiyo anayosema kuwa mumewe imemuhangaisha ndio hiyo hiyo ilikuwa inawafanya waende Vacation kila mwisho wa mwaka maeneo mbali mbali ya starehe duniani.

Ama kweli tuishi nao kwa akili maana wao wameweka akili nyuma na kuweka hisia mbele.
 
Kwa hali hii kufikia 2030 wanaume 9 kati ya kumi watakuwa timu kataa ndoa. Sex itakuwa commercial commodity, unakutana na ke mnangonoka, unalipa mnasepa. Hata kuzaliana watoto itajakuwa ni kwa makubaliano ya kibiashara.Kuishi na mwanamke ndani ni kufuga mnyang'anyi wa mali zako, hasara tupu.
 
Habari za muda huu waungwana wa humu jamvini.......

Katika ulimwengu wa soka na wapenda soka kumezuka habari mbaya kwa upande wa mwalimu wa soka safi lenye kuvutia anajulikana kama GUARDIOLA.....

NDOA yake ya miaka 30 kama sijakosea imefikia tamati juzi Kati....huku kocha wa mpira akipoteza jumba lake la kifahari pale Uingireza na nusu ya kile alichokivuna kwa jasho lake kwenye maisha yake ya ukiacha......

Wakati aliyekuwa mke wa kocha akihitimisha NDOA yao alinukuliwa akisema ya kwamba bwana amekuwa bize mno na kazi kiasi kwamba muda wa kukaa na familia yake umekuwa mchache sana.....

Mwanamke huyo ameshinda kuelewa kuwa kazi hiyo anayosema kuwa imekuwa ikimuweka bize mumewe ndio iliyomfanya yeye kupata nyumba ya kifahari hapo London na kuchukua nusu ya utajiri wa Kocha wa boli.......

Kazi hiyo hiyo anayosema kuwa mumewe imemuhangaisha ndio hiyo hiyo ilikuwa inawafanya waende Vacation kila mwisho wa mwaka maeneo mbali mbali ya starehe duniani......

Ama kweli tuishi nao kwa akili maana wao wameweka akili nyuma na kuweka hisia mbele......
Kaka Asante sana sana sana sana
Kifupi, hawaridhiki, hata ukiishi nayo kiakili bado tabu, labda uwe fala, atembee nje uwe kimya, hata upige show kama ma porn stars wapi!
Kifupi, ukiwa na bahati ukampata alietulia na msikivu basi MSHUKURU MUUMBA.
WANAUME TUNA MATESO NA HAWA WENZETU!
 
Kuna namna kama wazungu wanatengeneza mkakati wa kuua taasis ya ndoa polepole
 
Kaka Asante sana sana sana sana
Kifupi, hawaridhiki, hata ukiishi nayo kiakili bado tabu, labda uwe fala, atembee nje uwe kimya, hata upige show kama ma porn stars wapi!
Kifupi, ukiwa na bahati ukampata alietulia na msikivu basi MSHUKURU MUUMBA.
WANAUME TUNA MATESO NA HAWA WENZETU!
Hakika ndugu ni mitihani sana kuishi na hawa viumbe......

Mtume Muhammad SAW
Aliwahi kusema ya kwamba......hakuacha shari kubwa kwa wanaume isipokuwa WANAWAKE.......
 
Kwa hali hii kufikia 2030 wanaume 9 kati ya kumi watakuwa timu kataa ndoa. Sex itakuwa commercial commodity, unakutana na ke mnangonoka, unalipa mnasepa. Hata kuzaliana watoto itajakuwa ni kwa makubaliano ya kibiashara.Kuishi na mwanamke ndani ni kufuga mnyang'anyi wa mali zako, hasara tupu.
Kwa kweli ni mtihani mkubwa Sana kwetu wanaume
 
Inatakiwa toka mwanzo ajue huna muda nae,sasa wewe mwanzo unajifanya kuwa karibu yake sana eti baadae ndo unaanza kuwa mbali nae

Inatakiwa siku tu unamuoa,kesho yake unasepa unaenda kukaa na mchepuko honeymoon kwa wiki mbili
Shindwa pepo 🙏
 
Back
Top Bottom